biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 392
- 166
- Thread starter
- #21
Karibuntarudi
Karibuntarudi
Kwahiyo mwamba, hiyo button ya kubonyeza maji yatoke inatumia umeme? Bila umeme haibonyezeki?Ina cable kama ya simu, unaichaji kwenye deki au kwenye deki, inavuta maji kwa kubonyeza juu ya hicho kifaa
Ukishaichaji unatumia muda wote kama ilivyo kwenye simu hizi, mpaka pale chaji itakapoisha.Kwahiyo mwamba, hiyo button ya kubonyeza maji yatoke inatumia umeme? Bila umeme haibonyezeki?
Sijaelewa. INAHITAJI umeme (chaji) kwa ajili ya nini, kubonyezea maji yatoke ama kupoza maji? Chaji ikiisha inakuwaje, button haifanyi kazi ukiibonyeza?Ukishaichaji unatumia muda wote kama ilivyo kwenye simu hizi, mpaka pale chaji itakapoisha.
Hahahaaa ndo dunia ya sasa binadamu tunazidi kuwa wavivu yaaani. Yaaani hata kumimina maji tunahitaji kiroboti, so technically hiki tukiite "Kidude cha kumiminia maji" manaake dispenser inapooza na kupasha moto piaStupid device
Hili swali nimemuuliza ameshindwa kujibu, haelewi hata swali linahusu nini.Sijaelewa. INAHITAJI umeme (chaji) kwa ajili ya nini, kubonyezea maji yatoke ama kupoza maji? Chaji ikiisha inakuwaje, button haifanyi kazi ukiibonyeza?
Amesema hii yake haipoozi wala kuchemsha, maji yalivyo kwenye dumu yatatoka hivyohivyo kama yalivyo.Hahahaaa ndo dunia ya sasa binadamu tunazidi kuwa wavivu yaaani. Yaaani hata kumimina maji tunahitaji kiroboti, so technically hiki tukiite "Kidude cha kumiminia maji" manaake dispenser inapooza na kupasha moto pia
Ila ndo teknolojia huwezi kuikwepa, japokua mimi binafsi napenda bado mpaka leo vitu vinavyowezekana kufanyika manually nifanye manually
Duh kama hakipoozi wala kuchemsha so kazi yake ni kutoa maji tu kwenye dumu? Aisee tumefikia hatua ya kushindwa kuinamisha madumu na kumimina maji hadi msaada wa kidevice🤫🤫Amesema hii yake haipoozi wala kuchemsha, maji yalivyo kwenye dumu yatatoka hivyohivyo kama yalivyo.
Ndio maendeleo ya technolojia hayo.Duh kama hakipoozi wala kuchemsha so kazi yake ni kutoa maji tu kwenye dumu? Aisee tumefikia hatua ya kushindwa kuinamisha madumu na kumimina maji hadi msaada wa kidevice![]()
Sawa, ila iwe technolojia yenye manufaa bana inachukua muda gani kumimina maji na hicho kidevice? mimi ntamimina na mikono tu😀Ndio maendeleo ya technolojia hayo.
We hushindwi kukachomoa, halafu ukamimina kawaida.Sawa, ila iwe technolojia yenye manufaa bana inachukua muda gani kumimina maji na hicho kidevice? mimi ntamimina na mikono tu![]()
Kabisa! Yani nikae nisubiri kimimine maji ya kunipimia aargh mikono tu fasta nishakata kiu😀 ila wanaopenda watumie tu si vibayaWe hushindwi kukachomoa, halafu ukamimina kawaida.
Ni kama vile simu, chaji ikishaisha hakuna kinachofanya kaziSijaelewa. INAHITAJI umeme (chaji) kwa ajili ya nini, kubonyezea maji yatoke ama kupoza maji? Chaji ikiisha inakuwaje, button haifanyi kazi ukiibonyeza?
Kinarahisisha kazi, ndio maana halisi ya mashineSawa, ila iwe technolojia yenye manufaa bana inachukua muda gani kumimina maji na hicho kidevice? mimi ntamimina na mikono tu😀
Tofautisha kati ya perfume na dispenser hii, unapohusisha suala la maji ni lazima iwepo mashine ya kuyavuta hayo maji, na ndio kazi ya hiyo button hapo juu.Hili swali nimemuuliza ameshindwa kujibu, haelewi hata swali linahusu nini.
Hata Perfume au Body Spray in ka "dispenser" kwa juu na ukiminya perfume inatoka, na haitumii umeme. Yeye anashindwa kusema huu umeme unaochajiwa ni kwa ajili ya nini.
Umenena mkuuNdio maendeleo ya technolojia hayo.
Chaji ikiisha button haiwezi kufanya kazi, umeme chaji ni kwa ajili ya hicho kifaa kiweze kufanya kazi.Sijaelewa. INAHITAJI umeme (chaji) kwa ajili ya nini, kubonyezea maji yatoke ama kupoza maji? Chaji ikiisha inakuwaje, button haifanyi kazi ukiibonyeza?
Inabonyezeka ila haiwezi kufanya kazi iwapo chaji imeisha.Kwahiyo mwamba, hiyo button ya kubonyeza maji yatoke inatumia umeme? Bila umeme haibonyezeki?