Wateja wa Taifa Gas tuwe makini

Siku hizi Wana mtindo mmoja ukihitaji kubadilisha wanakuletea mtungi wa gesi mpaka unapoishi na ni free of charge ww ni kupiga simu tu sasa hapo lazima Kuna upigaji tu.

Naomba kufaamishwa vizur unajuaje mtungi wa gesi kwamba umechakachuliwa?
pima na mzani wako usiamini mzani wowote hata wa dukani usiuamini
 
R
Rostam ni fisadi papa
 
Mmmh hapa sio uzi wa afisa masoko kweli..sababu hawa taifa wanakimbiza
 
Unaweza n janja ya mwenye duka akiiba kg moja au nusu kg kwa mitungi 20 anapata mtungi mmoja extra na kuhamisha gas kutoka mtungi mmoja kwenda mwingine n simple tu
 
Tu kumbe tena!? Mimi pia natumia taifa gas japo situmii sana maana ubize mwingi.
Unapenda anasa sana. Acha kuendekeza anasa kwa kutumia gesi. Mbona babu zako hawakutumia gesi na maisha yalienda tu tena walikuwa na furaha kukuliko.
 
Unaweza n janja ya mwenye duka akiiba kg moja au nusu kg kwa mitungi 20 anapata mtungi mmoja extra na kuhamisha gas kutoka mtungi mmoja kwenda mwingine n simple tu
Na zile seal za taifa pia anakua nazo au
 
Yuko sahihi, Mitungi ya taifa gas wabadilike.
Wafanye suprise cheki kwenye wauzaji wao
Humu Jamii Forums wachukue kuwa lalamiiko limefika wachukue hatua

Yaweza kuwa agents ndio wanafanya huo.mchezo bila wao kujua
 
Nia yangu ni kuwafungua macho watumiaji wenzangu wa Taifa Gas na kuwasaidia wahusika wafanyie kazi na kurekebisha kasoro hiyo.
Mimi bado natumia Taifa Gas lakini lazima niupime na kuuchukua mtungi uliotimia.

Mwisho, hili ni rahisi sana kufuatilia, nenda duka lolote wanalouza gesi ya mtungi, chukua mitungi mitatu ya Taifa Gas na upime. Utajionea.

Vv
 
Siku hizi Wana mtindo mmoja ukihitaji kubadilisha wanakuletea mtungi wa gesi mpaka unapoishi na ni free of charge ww ni kupiga simu tu sasa hapo lazima Kuna upigaji tu.

Naomba kufaamishwa vizur unajuaje mtungi wa gesi kwamba umechakachuliwa?
Muuzaji anatakiwa kuwa na mzani wa kidigitali wa kupimia [ni agizo la serikali]. Kila mtungi juu pembeni umeandikwa ujazo wake, unapopima lazima uzito wa mtungi pamoja na gesi usome sawa na maandishi yaliyopo kwenye mtungi.

Vv
 
Ili kuwasaidia wengine.
  • Mtungi mdogo unatakiwa uwe kg ngapi?
  • Mtungi wa kati unatakiwa uwe kg ngapi?
  • Mtungi mkubwa unatakiwa uwe na kg ngapi?
 
Mkuu sio gesi tu, nakuomba uwe makini na vitu vyote vyenye mkono wa serikali kuanzia shule hospitali, maji nk. Kwa mfano, maji yanayotoka kwenye bomba la DAWASA sio salama kuyannywa moja kwa moja bila kuchemsha....yatakuja kukuua usipokuwa makini.

Shule na hospitali za umma nazo ni matatizo kwa kwenda mbele. Sina haja ya kueleza zaidi wala kuweka picha kwani kila mtu anafahamu hili. Kuweni makini na vitu vya serikali vitakuja kuwaua bure!
 
Muuzaji anatakiwa kuwa na mzani wa kidigitali wa kupimia [ni agizo la serikali]. Kila mtungi juu pembeni umeandikwa ujazo wake, unapopima lazima uzito wa mtungi pamoja na gesi usome sawa na maandishi yaliyopo kwenye mtungi.

Vv
Ni kweli kabisa mkuu lakini wananchi wengi hawazingatii hili. Tunapigwa mno!
 
Hii nchi hatuaminiani kabisa[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…