Watanzania

Watanzania

bothlegs

Senior Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
123
Reaction score
49
Mtia nia mmoja baada ya kushindwa kupita kataika kura za maoni ya kugombea ubunge,alisikika akilalamika kwa kusema. ''Wale sio wajumbe wale ni WATANZA NIA.Yaani pamoja na kuniahidi kwamba watanipa kura za kutosha ili niteuliwe kuwa mgombea,nia yangu wameitanza na kupoteza matumani ya kuwa mbunge''.
 
Back
Top Bottom