Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.
Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.
Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.
Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.
Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.
Kazi kwenu sasa
Hujajibu swali.
Na unajuaje mimi nimo humo mpaka uniambie "mtafanikiwa"?
Ninamaanisha uzidi kufanikiwa. Mafanikio hayana mwisho
UTAFITI unaonyesha zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanalala "Stoo/Store", Haiwezekani chumba cha kulala Mtu kiwe na vitu vyote hivi: Ndoo za maji, Sufuria, Jiko, viroba vya Mkaa, Sofa, Kitanda, Kabati, Friji, Kopo la Kuogea, Mabegi ya Nguo, Meza ya chakula, Baiskeli, Pikipiki, mifagio.
Je, Wewe kwako kuko hivyo?
UTAFITI unaonyesha zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanalala "Stoo/Store", Haiwezekani chumba cha kulala Mtu kiwe na vitu vyote hivi: Ndoo za maji, Sufuria, Jiko, viroba vya Mkaa, Sofa, Kitanda, Kabati, Friji, Kopo la Kuogea, Mabegi ya Nguo, Meza ya chakula, Baiskeli, Pikipiki, mifagio.
Je, Wewe kwako kuko hivyo?
Nimechekaje,ni kwelii kabisa umesemaa