UTAFITI unaonyesha zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanalala "Stoo/Store", Haiwezekani chumba cha kulala Mtu kiwe na vitu vyote hivi: Ndoo za maji, Sufuria, Jiko, viroba vya Mkaa, Sofa, Kitanda, Kabati, Friji, Kopo la Kuogea, Mabegi ya Nguo, Meza ya chakula, Baiskeli, Pikipiki, mifagio.
Je, Wewe kwako kuko hivyo?