sasa huyo ni bora,ameshika vitu gani?
Hii ni halisi ya Watanzania wengi vijijini.
Hii siyo Tanzania wanaoishi wakina Prof. Beno Mbullu,Lowassa ,Dr Idris Rashid etc .
yaah!this is suppossed to be serious
hapa hii picha bado nahisi ina walakini:sasa huyo ni bora,ameshika vitu gani?
Kama ile vya kunyweshea maji kuku?
au ndio FOTOSHOP?hapa hii picha bado nahisi ina walakini:
Inawezekana huyu binti katoka kupata msaada ya hayo magudulia ya kunyweshea maji kuku, kwa jinsi mazingira yalivyo sidhani kama anamudu gharama ya hayo magudulia!!!.
Maisha bora kwa kila mtz bado sanaaaaaaaaaa.
sasa huyo ni bora,ameshika vitu gani?
kama ile vya kunyweshea maji kuku?
halafu eti tunajifanya tunapigana na ufisadi wakati wengi humu atujui siku kupita bila ya mlo. These are the issues ambazo zinatakiwa kuelezewa daily humu ndani. Ninachoona ni watu ambao wako so concerned na ufisadi kwa nia ya kubadilisha uongozi tu lakini si kwa nia ya hawa watu. Hii vita ya Tanzania na watanzania or a bunch ex politicians wenye uchu tu.
PakaJimmy, picha yako imenishtua kichizi mpwa....duuh, hiyo noma kwa kweli.