Mtu mpaka uweke toilet bango la tafadhali safisha ukiny ukijoa!? Kaa watoto!!?Mungu awabariki wale ambao hawatupi kopo la maji mpaka wakutane na dustbin. Mungu awabariki ambao hawajisaidii pembeni kwenye vyoo vya umma, Mungu awabariki wanaojali kuflashi.
hahahahahaView attachment 2597284
Na kweli watanzania wachafu
Tatizo kubwa!watanzania uchafu unaanzia kichwani (akili za watanzania wengi zimejaa uchafu i.e dirty contents) mtu kichwani amajaza matakata unafikiri huku nje mambo yanakuwaje.. hii ni picha halisi ya nchi ya Tanzania ilivyo .. hiyo nchi ni chafu kwenye kila eneo sio watu sio vitu kila jambo Tanzania limejaa uchafu..
Hata usomi wako kama sio msafi. Usomi unakuwa hauna maana. Inasikitisha sana mtu anajiita msomi lakini mchafu,ajaabu. Wengine wadada lakini wachafu!Kuna na hii tabia watu kumwaga maji machafu barabarani inakera sana, na suara jingine kuwa umeendelea ni kigezo Cha usafi,