chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Leo kaja mchina ofisini kwangu maswala ya biashara ni moja wateja wangu ambao wapo kwa kazi maalumu ya ujenzi wa barabara.
Ila huyu mchina hakawa analalamika kuwa watanzania ni watu ambao maisha yapo makini kwenye memes.
swala la memes kwangu limebeba mambo mengi kama nifikiliavo.
*utani ,uvumi,mzaha na porojo.
kwa mimi navoliona .
unaweza kukuta jambo la maana linaelezwa ila mtu hakachapia basi hapo hapo limeshakuwa memes
Ila huyu mchina hakawa analalamika kuwa watanzania ni watu ambao maisha yapo makini kwenye memes.
swala la memes kwangu limebeba mambo mengi kama nifikiliavo.
*utani ,uvumi,mzaha na porojo.
kwa mimi navoliona .
unaweza kukuta jambo la maana linaelezwa ila mtu hakachapia basi hapo hapo limeshakuwa memes