Watanzania wanatapeliwa TELEXFREE viongozi mko wapi

Watanzania wanatapeliwa TELEXFREE viongozi mko wapi

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,033
Reaction score
2,123
Hawa jamaa ni deci sema wao wako online tu na wanamipango kuvuna $200,000,000 kutoka kwa watanzania zaidi ya 200,000 ,huko brazil kimeshanuka jamaa kakamatwa the telexfree boss sasa viongozi msije sema hamkujua nini kinaendelea si mnasubiri mambo yawe tight
 
Hawa jamaa ni deci sema wao wako online tu na wanamipango kuvuna $200,000,000 kutoka kwa watanzania zaidi ya 200,000 ,huko brazil kimeshanuka jamaa kakamatwa the telexfree boss sasa viongozi msije sema hamkujua nini kinaendelea si mnasubiri mambo yawe tight

mirindimo usijishushie heshima kwa uzushi,
weka source inayosema viongozi wa telexfree brazil wamekamatwa!
vinginevyo we ni mnafiki na mzandiki!
 
Last edited by a moderator:
Duh inamaana nawe haujui au ndo wale mnaotaka watanzania wali we?
mirindimo usijishushie heshima kwa uzushi,
weka source inayosema viongozi wa telexfree brazil wamekamatwa!
vinginevyo we ni mnafiki na mzandiki!
 
Last edited by a moderator:
Weka source acha siasa...

So still mna amini TelexFree deal eh? Just google utajua kilichojiri brazil na kesi zipo mahakani sasa...kwa watanzania makini tuwekeze kwa miradi yetu hata ya kilimo kwa hizo fedha au kuku tuu kufuga ....utafurahi kwa muda then kilio kinafuata kwa hiyo TelexFree yenu
 
Mimi nilihisi tu kwamba something wasn't right somewhere.....Siamini katika 'Ubwete'...
 
Ilibaki kidogo niingie king hapa,'utoto wa mjini ndo ulifanya nistuke lasivyo nahisi sahv ningekuwa nalilia vilaki vyangu
 
Duh! nashukuru kwa taarifa wakuu,imenisaidia kufanya maamuzi. Kuna jamaa kanifuata jana kuhusu hiyo telexfree na faida zake,nikamwambia ngoja nitafakari
 
Nimefuatwa sana na watu wanaotaka kuniingza hiyo Telexfree baada ya kunielezea faida na namna ya kujiunga nikawaambia wanipe muda niifikirie!! katika kufikiria ninajiuliza hivi anayetoa hayo matangazo ni nani na anawalenga kina nani? yaani mtu akupe tangazo lake ili biashara yake ijulikane halafu asijali unatangazia wapi bado akulipe US$ 20 per Day? kwa mfanyabiashara makini atataka tangazo lake litangazwe sehemu anayojua kuna watu wengi.... hata hapa kwetu Bongo kupata nafasi ya kutangaza tangazo lango katikati ya taarifa ya habari si mchezo....Pili, hiyo Telexfree vyanzo vyake vya hela ni nini? kama sio viingilio vya watu? siku watu wakiacha kujiunga ina collapse!!
 
Acheni kua mapompompo we unaedai link hujui kusoma au unatafuta aibu tu hapa hujui ku google wewe haya hii hapa
Telexfree - Wikipedia, the free encyclopedia
unataka nini kingine,au tuwataje mnaohusika humo? subirini segerea itawahusu,shwaini wakubwa hakuna pesa ya rahisi hivo
 
Telexfree - Wikipedia, the free encyclopedia mzandiki wewe unaelazinisha watu wajiunge telexfree ndio ushaliwaaaa hivo jiangalie vizuri

mkuu mbona una hasira, mimi nimesema naomba source thats so!
nakuhakikishia mm ni mmoja wa watu walioshawishiwa sana kuingia huko lkn sikuwahi kuhudhuria pale millenium tower kwenye seminar zao!
so mimi si mmoja wao naomba nikanushe kuwa mm ni mmoja wanaolazimisha watu wajiunge na telexfree!
 
Unafanya maamuzi kwa kutegemea coments za jf pole. Nakushauri urudi kwa mtu aliyekuambia kuhusu hiyo kampuni then muulize kuhusu kilichotokea brazil ukiweza print kabisa hizo jf coments ukamuoneshe na wewe itafute kwa google, then baada ya hapo fanya maamuzi yaliyo sahihi. Achana na jf kukuamlia. Ipo siku watakuambia achana na mke wako sasa sijui utafika kwako na kuandika taraka tu. Ni hayo tu
 
Unafanya maamuzi kwa kutegemea coments za jf pole. Nakushauri urudi kwa mtu aliyekuambia kuhusu hiyo kampuni then muulize kuhusu kilichotokea brazil ukiweza print kabisa hizo jf coments ukamuoneshe na wewe itafute kwa google, then baada ya hapo fanya maamuzi yaliyo sahihi. Achana na jf kukuamlia. Ipo siku watakuambia achana na mke wako sasa sijui utafika kwako na kuandika taraka tu. Ni hayo tu

JF inasaidia sana,ingekuwa tunafahamiana humu tungeweza kusema kwamba watu tunaoneana wivu ila humu maranyingi lisemwalo lipo coz jf imekutanisha watu wengi kutoka sehem mbalimbali na wenye kujua mambo mbalimbali.Kunavitu vingi vinaanzaga kama rumours humu na wanaopinga kama wewe wanakuwepo baadaye inakuja kubainika bila kificho kwamba kilichosemwa ni cha kweli.So usipuuze kinachosemwa humu
 
Unafanya maamuzi kwa kutegemea coments za jf pole. Nakushauri urudi kwa mtu aliyekuambia kuhusu hiyo kampuni then muulize kuhusu kilichotokea brazil ukiweza print kabisa hizo jf coments ukamuoneshe na wewe itafute kwa google, then baada ya hapo fanya maamuzi yaliyo sahihi. Achana na jf kukuamlia. Ipo siku watakuambia achana na mke wako sasa sijui utafika kwako na kuandika taraka tu. Ni hayo tu
we jamaa hivi ulichoandika umekisoma ukakielewa au ndio unafikiria kwa kutumia ........****! Tumia bisara wenzetu wanaliwa huko lazima tuwasaidie hata kama wajinga waliwao at least tutawaambia tuliwaonya
 
Back
Top Bottom