MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Watanzania wengi wanamtumia Mange Kimambi kila tatizo la nchi hii huku wakiwa wamerekodi video au audio na wakimuomba dada huyo afiche namba zao au ID zao kwa hali hiyo kweli watanzania hawa wanazijua njia za kutatua matatizo yao ndani ya nchi yao wenyewe au ni njia ya tu kuivua nchi nguo kimataifa? hata kama matatizo hayo kweli yapo?
sijaelewa nia hasa ya watu hawa ni nini? kwanini wasiwe wazi tu katika maeneo yao wanayoishi kuhusu matatizo yao mpaka wapeleke nje ya nchi tena kwa kujificha?
sijaelewa nia hasa ya watu hawa ni nini? kwanini wasiwe wazi tu katika maeneo yao wanayoishi kuhusu matatizo yao mpaka wapeleke nje ya nchi tena kwa kujificha?