Watanzania wamekata tamaa

Hapo umeöna tatizo gani?, mbona hao watoto wanaafya njema?
 
Tanzania bila si-si-em inawezekana.
 
hapo umeöna tatizo gani?, mbona hao watoto wanaafya njema?

kwa kuwa wewe tunakujua ni kada wa ccm lazima useme wana hali nzuri . Ndo maana wa-tz mnaogopa kuanza kutumika kwa asilimia 100% kwa jumuia ya afrika mashariki. Mnajua hamtokua na chenu kutokana na kuwanyima wananchi wenu elimu !!!!
 
Ndio mafanikio ya CCM baada ya mika 50!
 
Hapo umeöna tatizo gani?, mbona hao watoto wanaafya njema?
GAMA........... HIVI WEWE NI MZIMA KWELI...............AND YOU CALL YOURSELF "GREAT THINKER"..........??? YAANI HAPO UNAONA TATIZO LINATAZAMWA KWENYE AFYA TUUUUUUUUUUUU.........!!!!!!!!! Kumbuka uzima wa mguu hauwezeshi macho kuona............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…