Watanzania wamefungiwa Internet sababu ya Uchaguzi

AMANI YRTU NI MUHIMU KULIKO INTERNET KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI. it is security door against Peace distroyers
 
Mbona mimi sina VPN ila JF kila siku ninaperuzi, watu mbona wanaperuzi watsapp.
 
Hivi ukiHARIBU AMANi kwa mitandao ... Amani itarudishwa kwa mitandao kweli?... tutumie akili zetu waTZ ... TAHARUKI ZA UONGO HUSAMBAA KWA NJIA YA MITANDAO NA KUHARIBU AMANI ZA NCHI... Ambapo Amani ikitoweka hatahiyo MITANDAO HAITAPATIKANA TENA sasa sijui MTAMLALAMIKIA NANI KUWA MITANDAO HAMNA hicho kipindi vha VURUGU...?
Kwani kuvumilia kuna shida gani?
 
Sasa Mr. Genius kwa nini Watanzania wapitie process mrefu ya ujinga ulioandika hapo. Si JPM afungue internet Watanzania waingie JF bila kupitia process mrefu ya ujinga. Afungue internet. Anafunga kwa nini?
 
Sasa Mr. Genius kwa nini Watanzania wapitie process mrefu ya ujinga ulioandika hapo. Si JPM afungue internet Watanzania waingie JF bila kupitia process mrefu ya ujinga. Afungue internet. Anafunga kwa nini?
There is enough internet to watch porn in 8k Resolution. But there is zero internet to hide behind psedo names and undermine the popularly Elected president..H.E John Pombe Magufuli..
 
For those who still want to hide behind keyboards and insult HE Magufuli JPM but still don't understand my message..Here is a simpler setup that doesn't risk your personal data being mined by commercial VPN cayotes..

Simple..Install Zerotier SDN (software Defined Networking). It simple to use, no Root Certificates, No need for VPS.
uses DNS to punch through firewalls.

The caveat here is that you must have a node outside the Country to tap from
 
Siwacheki dadangu. Nawasilisha tu hoja yangu kuwa Tanzania hakuna demokrasia ya kweli. Hata Kenya hatuna demokradia ya kweli lakini huku kwetu hatujawahi kufanyiwa maovu mnayofanyiwa nyinyi. Nawaombeeni uhai na afya na ujasiri kwa wingi.
 
Sema unajaribu kuturingia kuwa umesomea IT lakini hakuna Mtanzania anayeelewa madudu unayoandika hapa.
 
Ndio haijalalishi,
lakini inaonesha sio jambo geni hata UK wamewah funga kwa mda mfupi (Nenda kagoogle) so relax mzee

Tukiachila internet, wewe ni Mtu wa kulalamika tuu kulalamika tuu kuhus serikali huoni unahatarisha afya ya Akili yako ??hivi
Halo kibiashara ni mbaya sana hii kitu sekta ya utalii kuanzia booking za usafiri malazi na sehenu za kutalii nk zinaathirika sana naona unaangalia upande mmoja wa shillingi. Watu kama nyie wagumu sana kuelewa ila mna kelele nyingi. Huo ni mfano mmoja tu mengine jaza mwenyewe ndio utaona hili jambo la kuzuia net halifai kabisa.
 
Sisi hawa hawa hata stiki za kutolea uchafu kwenye meno zinatoka China ya kwel haya uanayoongea , acha kujisifia kwa vitu vya kijinga
Na viberiti vya Kasuku vinatoka Nairobi, ,Kenya
 
Siwacheki dadangu. Nawasilisha tu hoja yangu kuwa Tanzania hakuna demokrasia ya kweli. Hata Kenya hatuna demokradia ya kweli lakini huku kwetu hatujawahi kufanyiwa maovu mnayofanyiwa nyinyi. Nawaombeeni uhai na afya na ujasiri kwa wingi.
Asante. Hakuna jinsi tufanyeje sasa?

Ikabidi tu tufunge kinywa for the sake of our lives.we hope yataisha bila kumwaga damu zaidi

Angalia uganda wakina bobi wine wanavyofanyiwa na vyombo vya usalama..museveni kashavicontrol kama huku kwetu.wanatumwa tu kama mbwa nao wanatelekeza.tutaponea wapi?
 

wewe msukule unajua uchaguzi wa kenya walikufa watu wangapi!!!
 
ajabu ni kwamba bado watu wako hewani kibao
.

ile nchi yenye GDP kubwa EA kingetokea hiki asingekaa mtu hewani mpaka dakika hii

mnashida sana mongiki.
 
ajabu ni kwamba bado watu wako hewani kibao
.

ile nchi yenye GDP kubwa EA kingetokea hiki asingekaa mtu hewani mpaka dakika hii

mnashida sana mongiki.
Wewe uliwajulia wapi Mungiki?
 
Njia nyepesi kwa wale wasiofahamu teknolojia:
nenda Psiphon | Download Android app and Windows client
chukua programu ya Psiphon.
Ni ndogo, unawasha tu, hakuna install.
Ama utumie njia inayopendekezwa au chagua nchi unayopenda kutumia (inasaidia pia kuangalia filamu, TV zinaziruhusiwa kwa nchi fulani tu)
Ni programu iliyowahi kuundwa kwa watu katika nchi kama China, Iran na kadhalika ambako wanajaribu kuzuia wananchi wasione ambacho serikali hakipendi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…