BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,809
Udaku tu huo. Na ndiyo uliosababisha kufungwa mitandao fulani fulani ya internet siyo internet yote. Official internet websites zinafanyakazi kama kawaida.Hakuna hata mtu mmoja aliepoteza maisha?!Siyo rahisi kudanganya kwenye dunia hii ya utandawazi!
View attachment 1619563At least 11 shot dead ahead of Tanzania's presidential vote
ZANZIBAR, Tanzania (AP) — Police in Tanzania shot dead at least nine citizens amid unrest over alleged fraud ahead of the presidential election, a major opposition party asserted Tuesday, while officials denied it and one of Africa's most populous countries watched internet service slow to a crawl aapnews.com
Nchi yetu tulilogwa na NyerereUchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa Wabongo wamefungiwa internet. Yaani hata Whatsapp na JF na twitter na facebook hawawezi kuingia bila kutumia VPN. Welcome to North Korea republic of Tanzania. Mlishangilia wakati upinzani ulifutiliwa mbali. Kuleni ujeuri wenu.
Hapa Kenya internet haijawahi kuzimwa. Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole.
Ndio haijalalishi,Tanzania kutokuwa nchi ya kwanza duniani kuzima internet wakati wa uchaguzi haihalalishi Tanzania kuzima internet wakati wa uchaguzi
Such a developed countryHaijawahi kuzimwa huko sababu hiyo technology ya kufanya hivyo hamna, Nigeria wenyewe hawana mtakua ninyi?
Ni Tanzania tu Africa ina technology ya kufreeze a specific app
Hamkupigwa risasi kwa sababu nyie ni waoga. Hakuna mtu aliyejitokeza kuandamana. Tundu Lissu aliitisha maandamano lakini kila mtu aliogopa. Halafu sio kweli kusema kwamba hakuna mtu aliyepigwa risasi na polisi. Kuna watu wamepigwa risasi hapo TZ na video zipo mitandaoni.Japo sikubaliani na hili la kufungia mitandao ya kijamii bila sababu za msingi, lakini huwezi linganisha na Kenya ambako hawafungii mitandao ya kijamii lakini wanawapiga risasi wananchi wanaojaribu kutumia Uhuru wao kupinga matokeo ya uchaguzi.
Ingelikua ni Kenya hadi sasa zaidi ya watu 100 wangekua waneshapigwa risasi na kupoteza maisha. Tanzania zaidi ya kuwatisha na kuwahoji viongozi waliotishia kufanya maandamano, hakuna hata mtu mmoja aliyepoteza maisha. Tanzania hoyeeeeee
Usinyamaze mzeeKwa hiyo kama serekali inafanya madudu tunyamaze kwa sababu ya kuhofia kuhatarisha akili zetu?
Wacha kutetea maovu haya. Serikali yako haina haki ya kuwafungia internet. Mjifunze kupigania haki yenu, sio kukubali kila kitu.Ndio haijalalishi,
lakini inaonesha sio jambo geni hata UK wamewah funga kwa mda mfupi (Nenda kagoogle) so relax mzee
Tukiachila internet, wewe ni Mtu wa kulalamika tuu kulalamika tuu kuhus serikali huoni unahatarisha afya ya Akili yako ??
Hahahh Eti Serikali yako haina haki ya kufungia, Mwenye hio haki ni Nani?Wacha kutetea maovu haya. Serikali yako haina haki ya kuwafungia internet. Mjifunze kupigania haki yenu, sio kukubali kila kitu.
Sasa umebakiza app ipi ya vpn huko play store mkuu?
Hii ndio ujinga mnaolishwa na media uchwara na bila kujiuliza mnabandika huu upuuzi, Zanzibar mtu aliyeuliwa na kuthibitika ni mtu mmoja pekee, sikiliza BBC na DW, wacha hivyo vijarida vya umbea.Hakuna hata mtu mmoja aliepoteza maisha?!Siyo rahisi kudanganya kwenye dunia hii ya utandawazi!
View attachment 1619563At least 11 shot dead ahead of Tanzania's presidential vote
ZANZIBAR, Tanzania (AP) — Police in Tanzania shot dead at least nine citizens amid unrest over alleged fraud ahead of the presidential election, a major opposition party asserted Tuesday, while officials denied it and one of Africa's most populous countries watched internet service slow to a crawl aapnews.com
Warundi walirudi kwao ama bado wanangoja muandamane mpigwe risasi?Hii ndio ujinga mnaolishwa na media uchwara na bila kujiuliza mnabandika huu upuuzi, Zanzibar mtu aliyeuliwa na kuthibitika ni mtu mmoja pekee, sikiliza BBC na DW, wacha hivyo vijarida vya umbea.
By the way katika suala la uchaguzi, Zanzibar ina tume yake ya uchaguzi na Katiba yao, hatuingiliani. Zanzibar ni wabaguzi sawasawa na Kenya, wao huwa hawana tofauti na Kenya katika kuchinjana, tofauti ni kwamba idadi ya vifo Zanzibar huwa ni ndogo kulinganisha na Kenya
Hahaha! Watanzania ni watu wa ajabu SanaHaijawahi kuzimwa huko sababu hiyo technology ya kufanya hivyo hamna, Nigeria wenyewe hawana mtakua ninyi?
Ni Tanzania tu Africa ina technology ya kufreeze a specific app