mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Nimekoma! Nimekoma! Nimekoma mimi! Nimekoma sana. Miezi 5 iliyopita kuna jamaa mmoja alikuja akiwa na shida ya 590K TZS. So alitaka nimkopeshe.
Kwa kuwa nimelelewa kwa misingi ya huruma na malezi bora nikaona isiwe tabu, nikamkopesha 600K TZS, hiyo ten nilimpa tu ya soda. Alikuwa anatia huruma sana, narudia alikuwa anatia huruma sana.
Na akanitolea baadhi ya vifungu vya biblia ili aonekane muaminifu. Baada ya mwezi akasema atarudisha. Huyu bwana ni mfanyakazi benki moja hapa DSM, analipwa 2.5M kwa mwezi. So akasema akipata atanilipa.
Sasa ni mwezi wa 5 huu simu hapokei tena msg's hajibu. Na ameshaanza kusambaza sumu kwa watu wangu wa karibu kuwa nina roho mbaya. Kosa langu lipi?
Kukumbusha deni langu limekuwa kosa? Nina machungu si tu ya kudhulumiwa ila mtu kudharau msg's na calls zangu.
Uaminifu wetu upo wapi WaTZ?
Mpaka leo hii ni mwezi wa 5 ananikwepa na hataki kuongea na mimi wala ku respond calls zangu.
Uaminifu upo wapi?
Tumuamini nani?
Kwa kuwa nimelelewa kwa misingi ya huruma na malezi bora nikaona isiwe tabu, nikamkopesha 600K TZS, hiyo ten nilimpa tu ya soda. Alikuwa anatia huruma sana, narudia alikuwa anatia huruma sana.
Na akanitolea baadhi ya vifungu vya biblia ili aonekane muaminifu. Baada ya mwezi akasema atarudisha. Huyu bwana ni mfanyakazi benki moja hapa DSM, analipwa 2.5M kwa mwezi. So akasema akipata atanilipa.
Sasa ni mwezi wa 5 huu simu hapokei tena msg's hajibu. Na ameshaanza kusambaza sumu kwa watu wangu wa karibu kuwa nina roho mbaya. Kosa langu lipi?
Kukumbusha deni langu limekuwa kosa? Nina machungu si tu ya kudhulumiwa ila mtu kudharau msg's na calls zangu.
Uaminifu wetu upo wapi WaTZ?
Mpaka leo hii ni mwezi wa 5 ananikwepa na hataki kuongea na mimi wala ku respond calls zangu.
Uaminifu upo wapi?
Tumuamini nani?