Watanzania tuviamini vyombo vya ulinzi vya Tanzania. Martha Karua alirudishwa kenya kwa usalama wake kuna wakenya walitaka kumuua Tanzania kwa sababu ya kuchochea mauaji ya wajaluo Kenya yaliyozalisha wakimbizi wa ndani Kenya
Yeye na Jaji mkuu mstaafu Mutunga walirudishwa Airport sababu makundi ya waathirika wa hukumu za Jaji Mutunga na walioathirika na Martha Karua walipanga kuwaua Tanzania
Tanzania tukaogopa nchi isipakwe matope kuwa wameuawa nchini kwetu kuwa sisi ndio tumewaua wakarudishwa chap.chap Airport wakahangaike na wakenya wenzao huko sio Tanzania Kutupaka matope.Na wakenya wangewaua kweli wakiwa Tanzania kuhudhuria kesi ya Tundu Lisu.Washukuru Tanzania kuwa wako hai hadi leo.
Yeye na Jaji mkuu mstaafu Mutunga walirudishwa Airport sababu makundi ya waathirika wa hukumu za Jaji Mutunga na walioathirika na Martha Karua walipanga kuwaua Tanzania
Tanzania tukaogopa nchi isipakwe matope kuwa wameuawa nchini kwetu kuwa sisi ndio tumewaua wakarudishwa chap.chap Airport wakahangaike na wakenya wenzao huko sio Tanzania Kutupaka matope.Na wakenya wangewaua kweli wakiwa Tanzania kuhudhuria kesi ya Tundu Lisu.Washukuru Tanzania kuwa wako hai hadi leo.