Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,679
Kwa mujibu wa habari za shirika utangazaji la DW Ujerumani mchana huu, nchi ya Uganda imepata wagonjwa wapya wawili walioingia nchi hiyo kutokea Saud Arabia nchi ambayo haikuwemo ktk orodha ya nchi zenye maambukizi ya Corona.
Sisi Watanzania tuendelee kula bata tu tupo salama sana Mungu wetu ni mwema sana kuliko wao. Kuna Mzungu raia wa Italy mmoja jana alituma ujumbe kule twitter ngoja niutafsiri kwa lugha ya kizalendo.
Nanukuu:
"Ni ujinga wa hali ya juu kuwaza kuwa maambukizi haya hayatawafikia kwakuwa mnasali sana. Huku kwetu Italy watumishi wa Mungu zaidi ya ishirini na nane wamekufa kwa Corona"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi Watanzania tuendelee kula bata tu tupo salama sana Mungu wetu ni mwema sana kuliko wao. Kuna Mzungu raia wa Italy mmoja jana alituma ujumbe kule twitter ngoja niutafsiri kwa lugha ya kizalendo.
Nanukuu:
"Ni ujinga wa hali ya juu kuwaza kuwa maambukizi haya hayatawafikia kwakuwa mnasali sana. Huku kwetu Italy watumishi wa Mungu zaidi ya ishirini na nane wamekufa kwa Corona"
Sent using Jamii Forums mobile app