KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,751
- 9,002
Nimeona kuna vitu vimetrend katika mitandao hapa nchini.
1.Ni la.Mh Rais wa Jamuhuri wa Tanzania,
Dr John P.Magufuli kuteua tume iliyochunguza mchanga gafi uliokuwa ukipelekwa nje kwa ajili ya kuchenjuliwa,ambapo kamati ilikuja na mapendekezo, na Mh Rais akapiga marufuku kupeleka mchanga nje .
2. Ni juu ya uteuzi wa Kamanda Siro kuwa IGP.
Watanzani tufike mahali tuwe postive katika maswala ya msingi.
Mh Rais kupiga marufuku mchanga ni kwa ajili ya ya watanzania na sidhani ni kwa maslahi yake binafsi,ikumbukwe tulikuwa tukioiga mayowe kuhusu huu mchanga hadi tukasema hata wakiweka madini hatuwezi kufahamu!pili tukasema hadi ndege zipigwe marufuku kuingia kule mchimboni!.
Sasa leo inakuwaje tunalalamikia hili???
Swala la teuzi
Hili ni swala la mamlaka maana wanateuliwa na Rais kwakumsaidia kazi anapoona hanaitaji kubadilisha haiitaji mjadala hivyo hili swala tuliachie mamlaka.
Lengo
Maoni yako ni yapi au wewe ulishauri vipi.
1.Ni la.Mh Rais wa Jamuhuri wa Tanzania,
Dr John P.Magufuli kuteua tume iliyochunguza mchanga gafi uliokuwa ukipelekwa nje kwa ajili ya kuchenjuliwa,ambapo kamati ilikuja na mapendekezo, na Mh Rais akapiga marufuku kupeleka mchanga nje .
2. Ni juu ya uteuzi wa Kamanda Siro kuwa IGP.
Watanzani tufike mahali tuwe postive katika maswala ya msingi.
Mh Rais kupiga marufuku mchanga ni kwa ajili ya ya watanzania na sidhani ni kwa maslahi yake binafsi,ikumbukwe tulikuwa tukioiga mayowe kuhusu huu mchanga hadi tukasema hata wakiweka madini hatuwezi kufahamu!pili tukasema hadi ndege zipigwe marufuku kuingia kule mchimboni!.
Sasa leo inakuwaje tunalalamikia hili???
Swala la teuzi
Hili ni swala la mamlaka maana wanateuliwa na Rais kwakumsaidia kazi anapoona hanaitaji kubadilisha haiitaji mjadala hivyo hili swala tuliachie mamlaka.
Lengo
Maoni yako ni yapi au wewe ulishauri vipi.