Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Mahakama imetimiza wajibu wake kama inavyopaswa na kwahiyo hakuna la ajabu hapo. Binafsi nailaani tume ya uchaguzi iliyozembea hadi kuwaingiza wakenya kwenye gharama za marudio ya uchaguzi. Tume nzima ya uchaguzi inapaswa kuburuzwa mahakamani kwa kosa la kuhujumu uchumi na Odinga ameshasema hayuko tayari kurudi uchaguzini endapo tume haitatumbuliwa. Ahsante!