pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,098
- 12,472
Habari za mda huu wakuu,
Kwa wagonjwa poleni na mungu awafanyie wepesi mrudi katika Hali ya zamani wazima poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku.
Wakuu Kuna hili swala naona linaota mizizi siku za karibuni na huenda likawa tatizo baadae kwa wachezaji hata hawa wanaochipukia,
Kucheza mpira nchi za nje hasa ulaya ni ndoto ya wachezaji wengi Tanzania na barani Africa kwa ujumla Ila kwa wachezaji wengi wa Tanzania wakipata nafasi wanashindwa na hatimae kurejea tena nchini wachache wanaoshindwa baadhi ya team za nchi za nje na kuamua, kupambana sehemu nyingine tofauti na nyumbani Ila wengi hushindwa kuwa wavumilivu.
Tumeona baadhi ya wachezaji Kama:
Ninja- karudi yupo yanga
Farid - karejea na yeye yupo yanga
Chilunda-karejea nchini yupo Azam
Kichuya-karejea nchini Ila kwa sasa yupo namungo.
Hao ni wachache wa hivi karibuni Ila wapo wengine wengi waliorudi nchini kwa aina hiyo, hivi wakuu wachezaji wetu Wana feli wapi katika Hilo tatizo Nini hawadumu wakienda kucheza nje?
Kwa wagonjwa poleni na mungu awafanyie wepesi mrudi katika Hali ya zamani wazima poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku.
Wakuu Kuna hili swala naona linaota mizizi siku za karibuni na huenda likawa tatizo baadae kwa wachezaji hata hawa wanaochipukia,
Kucheza mpira nchi za nje hasa ulaya ni ndoto ya wachezaji wengi Tanzania na barani Africa kwa ujumla Ila kwa wachezaji wengi wa Tanzania wakipata nafasi wanashindwa na hatimae kurejea tena nchini wachache wanaoshindwa baadhi ya team za nchi za nje na kuamua, kupambana sehemu nyingine tofauti na nyumbani Ila wengi hushindwa kuwa wavumilivu.
Tumeona baadhi ya wachezaji Kama:
Ninja- karudi yupo yanga
Farid - karejea na yeye yupo yanga
Chilunda-karejea nchini yupo Azam
Kichuya-karejea nchini Ila kwa sasa yupo namungo.
Hao ni wachache wa hivi karibuni Ila wapo wengine wengi waliorudi nchini kwa aina hiyo, hivi wakuu wachezaji wetu Wana feli wapi katika Hilo tatizo Nini hawadumu wakienda kucheza nje?