TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Mashabiki wa mwanamuziki maarufu nchini marekani aitwaye Ludacris, wamejawa na wivu baada ya mwanamuziki huyo kutangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa amepewa uraia wa asili ya mkewe nchini Gabon.
Alitangaza hatua hiyo wakati wa sherehe za mwaka mpya na kusema "Naanza mwaka mpya nikiwa na uraia wa nchi mbili, afrika ambapo mke wangu na familia yangu wote tumepewa.
NB. Mara nyingi nchi kama Gabon huwa wanaona fulsa flani hawatoi Uraia hivi hivi tu, sisi kama taifa tunakwama wapi?
Alitangaza hatua hiyo wakati wa sherehe za mwaka mpya na kusema "Naanza mwaka mpya nikiwa na uraia wa nchi mbili, afrika ambapo mke wangu na familia yangu wote tumepewa.
NB. Mara nyingi nchi kama Gabon huwa wanaona fulsa flani hawatoi Uraia hivi hivi tu, sisi kama taifa tunakwama wapi?