Rowena2021
Member
- May 19, 2013
- 21
- 13
Yaani niko marekani hakuna anayeongelea uchaguzi huo umeshapita wenzenu Sasa tunachapa kazi, Ila kila Kona ya Tanzania bado wanaongelea uchaguzi hivi tunShida gani, tafuteni ya kufanya after all haiwasaidi Chochote.. wenzenu wameshakubali siasa mpaka tena baada ya miaka minne