Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,755
- 41,107
Habarini za sikukuu bandugu??
Hii hulka ipo sehemu nyingi na kwa makabila mengi.
Salamu ni kama ifuatavyo;
1. Mambo vipi, ukimjibu poa ataongezea niajee?? Utamwambia fresh tu. Au Badala ya niaje atatumia nambie?? Mwisho atamalizia mambo mengine?
2. Habari yako, nyumbani wazima? Mama/mumeo hajambo, watoto wanaendeleje? Flani amesharudi toka shule? Haya ukifika nisalimie wote.
Haya ndio maisha Yetu, na lazima ujibu maswali yote kwa kila utayekutana nae, usipojibu Tayari umetengeneza uadui.
Hii hulka ipo sehemu nyingi na kwa makabila mengi.
Salamu ni kama ifuatavyo;
1. Mambo vipi, ukimjibu poa ataongezea niajee?? Utamwambia fresh tu. Au Badala ya niaje atatumia nambie?? Mwisho atamalizia mambo mengine?
2. Habari yako, nyumbani wazima? Mama/mumeo hajambo, watoto wanaendeleje? Flani amesharudi toka shule? Haya ukifika nisalimie wote.
Haya ndio maisha Yetu, na lazima ujibu maswali yote kwa kila utayekutana nae, usipojibu Tayari umetengeneza uadui.