Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Sema wewe ulimuoneaNianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017
Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!
Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!
Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!
Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!
Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!
Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)
Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
No, not at all. JK was weak, a very weak president! This has been recorded forever! Of course he has his Strengths and weaknesses!Nianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017
Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!
Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!
Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!
Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!
Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!
Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)
Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
Umesahau kuwa Kikwete ndiye aliyetuletea huyu unayemlalamikia? Bila sarakasi zake unafikiri leo rais angekuwa nani? Umesahau kuwa ndiye aliyetia sahihi hii sheria ya makosa ya mtandao? Unajua kuwa ndiye alituvurugia mchakato wa katiba mpya, katiba ambayo ingetupa tume huru ya uchaguzi na kututatulia matatizo yetu mengi; tena baada ya kuuanzisha yeye mwenyewe na kutumia mabilioni ya pesa? Ufisadi?
JK ni mwanasiasa mahiri sana lakini strategically ni mwanasiasa hatari. Kama unabisha kawaulize hawa wanaogombania chai hapa.
Umesahau kuwa Kikwete ndiye aliyetuletea huyu unayemlalamikia? Bila sarakasi zake unafikiri leo rais angekuwa nani? Umesahau kuwa ndiye aliyetia sahihi hii sheria ya makosa ya mtandao? Unajua kuwa ndiye alituvurugia mchakato wa katiba mpya, katiba ambayo ingetupa tume huru ya uchaguzi na kututatulia matatizo yetu mengi; tena baada ya kuuanzisha yeye mwenyewe na kutumia mabilioni ya pesa? Ufisadi?
JK ni mwanasiasa mahiri sana lakini strategically ni mwanasiasa hatari. Kama unabisha kawaulize hawa wanaogombania chai hapa.
Mkuu umenichekesha sana. Kwa wenye taaluma na haya mambo kuna mengi yanaweza kusemwa kuhusu hii picha. Mtu unaweza kuandika hata thesis kabisa. Hakukosea aliyesema "a picture is worth a thousand words" Nyingine hizi hapa...Hivi kwanini kwny Tukio zima la Jk kukutana na Wana Chadema Ikulu hii Picha ya Lissu Kabong'oa kuchukua Chai ndio maarufu na ilisambaa sana?
Mbowe anatamani asimame nae akagombeee Chai, Prof Baregu aliona Lissu anachelewa ikabidi ainuke, Saed Arfi akili imestuck kwa kuona Chai na Yule Mpemba anacheka Cheka tu! Hii Picha ilipigwa kwa sababu Maalum na lilitimia!
Haya ndio yalikuwa Matusi ya Mkwere hakuwa akitukana Kama Ngosha!
Mkuu umenichekesha sana. Kwa wenye taaluma na haya mambo kuna mengi yanaweza kusemwa kuhusu hii picha. Mtu unaweza kuandika hata thesis kabisa. Hakukosea aliyesema "a picture is worth a thousand words" Nyingine hizi hapa...Dogo ndiye alimwita JK Dhaifu
Professor wa dunia huyo.Ndio maana, kipenzi cha watu JKII anaitwa Dkt. wa democracy...
Mungu akupe afya njema mzee wa watu, rais wa watu, mvumilivu... JKII
Aisee. I never thought it that way. Inawezekana. Yaani inaonekana kama vile jamaa walienda ikulu kufakamia vitafunwa tu; na hawako serious na kilichowapeleka. Kama Le Mutuz ni king of all Bongo social media basi JK ni King of Bongo politics. Na Swahiba wake huyu aisee hatakaa amsahau!itakuwa zilipigwa nyingi sana lakin Mtoto wa Mjini akaamua hizo ndo zirushwe tuone Makamanda walivyo behave wakiwa Ikulu!
Kwa hali ilivyokuwa kwa kweli ilikuwa muhimu tupate Kifaa toka Chatto aturejeshee Nidhamu
The Great Jakaya hakuwa Mtu wa Mchezo
Nianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017
Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!
Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!
Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!
Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!
Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!
Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)
Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
Ninawasi wasi wewe ni mmoja wa watu wasio na uwezo wa kuunganisha mambo na wepesi kusahau.
Hivi Jk alilifanya vizuri taifa hili? Angalia alivyokuwa akiteua watu kwa misingi aiujuayo yeye na ndio wlaipolifikisha taifa hapa lilipo. Alibundika bundika watu kujaza namba.
Ufisadi aliouasisi na kuulinda kwa nguvu zake zote uliona ulilpashwa kunyamaziwa kwamba ndiyo maendeleo?
Unakumbuka Ngosha alipoingia alisema amekuta hazina kweupe hakuna fedha? Hiiyo ilikuwa ni kazi ya nani? au kwako wewe huo ndio uongozi bora?
Kusema ukweli Ngosha analaumiwa kwa makosa mengi yasiyokuwa ya kwake. Anachojitahidi ni kuhangaika kuokoa jahazi alilolikuta limezama na kubakiza bendera tu iko juu yamaji. Anahangaika kufanya kazi kistaarabu kwa mujibu wa kulindana phenomena vinginevyo huyo JK leo asingekuwa anakenua kama anavyoonekana.
BTW, huyo Ngosha mnayemwona hafai, hajui, hawezi hata kama ana nia nzuri, ni matunda ya nani? Nani aliyemweka hapo kama siyo huyo Jk? Ubandikwaji wa jamaa utautofautishaje na bandiko zingine katika awamu ile vile zilifanyika bila kujali nia, uwezo wala sifa za mtu? Utasemaje kuwekwa kwa jamaa siyo mwendelezo wa maamuzi mabovu ya awamu ile?
JK HATAWEZA KUJINASUA KATIKA LAWAMA ZA KUSABABISHA MATESO KWA WATANZANIA. YOTE YANAYOTOKEA LEO NI MATUNDA YA JK NA NDIYO SABABU ANACHEKELEA.
WALE WEPESI KUSAHAU NA WASIOELEWA MUUNGANIKO WA MAMBO, NDIYO KAMA WEWE JAMAA, KWAMBA UMESHASAHAU UNATAKE KUCHORA MSITARI KWAMBA ETI FULANI ALIKUWA VILE NA YLUE YUKO VILE WAKATI YOTE NI MATOKEO YA KAZI YA MTU MMOJA.
LAWAMA ZOTE ZITAMWENDEA YEYE BILA HATA MSITISHO
Nianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017
Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!
Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!
Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!
Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!
Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!
Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)
Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
amefanya nini la maana hadi sasa? au la kuzuia bunge live na mikutano ya kisiasa?, au hili la kufuta ajira na kupunguza wanufaika wanafunzi wa bodi ya mikopo? au hili la kuharibu uchumi kiasi kwamba biashara zinafungwa? au kauli zake za kibabe zilizodororesha bandari na utalii nchini?Ki ukweli JPM anastahili pongezi sana kwa kazi anayoifanya. Tusibaki kumlaumu tu kwa kila jambo.
Kwa kawaida mwalimu ambaye ni mkali na ambaye ni very strict wanafunzi wengi humchukia sana kwa wakati ule, lakini baada ya kusoma na kufaulu vizuri na wakishakuwa watu wazima hutambua UMUHIMU wa mwalimu yule.
Kwa sasa baadhi ya watu wanamsakama sana JPM, lakini ipo siku tutakuja kuona UMUHIMU wake. Mimi namwomba Rais Magufuli aendelee na moto huu huu alioanza nao, wala asilegeze kamba. Maendeleo makubwa yanakuja mbele yetu.