Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Uandamane kumnufaisha nani?
Na usiandamane kumfurahisha nani??
Uandamane kumnufaisha nani?
Umejuaje kama ana watoto, haya nenda ukapewe pesa uwapelekee watoto wale.Mzee tafta pesa watoto wale
Mimi ni kwenye "bureau de change" mkuu.Wengi hawajui uchungu wa kudhulumiwa kibabe hasa na serikali. Mtu unabambikizwa kodi ya "MWANA UKOME" bila sababu wala kufuata makato sahihi. Mtu unakurupushwa kuombwa "RECEIPT YA MANUNUZI" ya miaka 10 iliopita (Wakijua hauna uwezo wa kuipata)...
Kupata amaniNa usiandamane kumfurahisha nani??
Hivi huko kichwani kwako kuna nini?Uandamane ili watoto wako wapate haki ya kuwa mashoga?
Kupata amani
SASA hivi mnalilia hela na ARV za mashoga.Wewe ni hamnazo kabisa; nani wa kwenda kuandamana na kurisk maisha yake yake kwa sababu ya ushoga? Kaandamane wewe na Lissu. Anawaambia mkaandamane wakati yeye anasepa kwenda majuu! Wajinga ndio waliwao
Mifumo ikiwa mibovu watakula vipi sasaMzee tafta pesa watoto wale
Usijali hata hao walioiweka mifumo nao wamo mumohumo muda si mrefu (hata 20 years) wataungana na nyie kupinga hiyo mifumo mibovu na kuungama wasamehewe. Hapo ndio itakakua mwanzo mzuriMifumo ikiwa mibovu watakula vipi sasa
Pesa zipi?! Buku7? I wish ningekua na mi ni wa hivo.Umejuaje kama ana watoto, haya nenda ukapewe pesa uwapelekee watoto wale.
Wanasiasa siyo wa kuwaamini, kama unaandamana kisa mwanasiasa kakuambia, huenda hadai haki yako anadai kula kwake. Hawa hawa akina Halima ndiyo nao walikuwa mstari wa mble kusema tuandamane, ila kumbe walikuwa wanasema tuandamane kisa walikosa ubunge. Muulize sasa Halima tuko tayari kuandama uone kama atatakubali.Wote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya.
Tuliambiwa tudai haki yetu tukagoma. Na mimi nasema acheni tuendelee kuburuzwa maana tumezidi ukondoo.
Katiba iko wazi kuhusu ukomo wa ubunge pale anapokoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsabibisha kupata ubunge. Ndungai hajali sheria na hakuna cha kumfanya.
Maskini Tanzania yangu.
True.Lowasa, Sumaye,membe,Mkapa baada ya mfumo kuwatupa eti nao utamani katiba mpya Hali walipokuwa wakipigiwa kelele juu ya kuleta katiba mpya walikunja nyuso na wakaona haiwahusu. Hata kina jiwes and company siku mfumo ukiwatupa si ajabu watakuja kuandika vitabu pia wataitamani.Usijali hata hao walioiweka mifumo nao wamo mumohumo muda si mrefu (hata 20 years) wataungana na nyie kupinga hiyo mifumo mibovu na kuungama wasamehewe. Hapo ndio itakakua mwanzo mzuri
Aaah wapi, si kwamba hakuna cha kumfanya. Hili si Bunge la ugogoni. Ngoma ndiyo kwanza imeanza. Upumbavu ni mzigo. Ataondoka na zigo lake la upumbavu na kutuachia Bunge letu la JMT.Wote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya.
Tuliambiwa tudai haki yetu tukagoma. Na mimi nasema acheni tuendelee kuburuzwa maana tumezidi ukondoo.
Katiba iko wazi kuhusu ukomo wa ubunge pale anapokoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsabibisha kupata ubunge. Ndungai hajali sheria na hakuna cha kumfanya.
Maskini Tanzania yangu.
Kama we we au baba ako?Uandamane ili watoto wako wapate haki ya kuwa mashoga?
Mbona we ni shoga unaliwa kila siku jamaniWewe ni hamnazo kabisa; nani wa kwenda kuandamana na kurisk maisha yake yake kwa sababu ya ushoga? Kaandamane wewe na Lissu. Anawaambia mkaandamane wakati yeye anasepa kwenda majuu! Wajinga ndio waliwao
Mi siyo tundu lissuMbona we ni shoga unaliwa kila siku jamani
Ni kweli mkuu. Niliwahi kushauri humu kuwa dawa ni kuacha kabisa ule mtindo wa kitanzania wa kubebana kila mtu ajisimamie maisha yake. Hakuna kuombana chumvi, kibaba, wala chochote.Wote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya...
Kwanini iCCM ilitumia rasilimali za nchi yetu kwa ajili ya Uganda,msumbiji, South Africa,Namibia, Zimbabwe, Sahara magharibi , Angola ?nk.si tungewashauri watafute pesa!Mzee tafta pesa watoto wale