kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,418
- 7,202
e
wee vipi fisadi kibaki aliimarisha nini kenya zaidi ya kuimarisha ufisadi.Huna uelewa wewe afadhali ungezaliwa jiwe ungekuwa na faida.
Kenya Mwai Kibaki alikuwa kanu mpaka mwisho akajiunga na kuleta mabadiliko ya kweli. Pia kumbuka Mwai Kibaki ni Mmoja wa mafisadi wa Kenya katika wakenya wanne wanaomiliki nusu aridhi ya Kenya naye yumo. Ila ndiye Rais pekee aliyeleta mabadiliko ya kweli.