Tena ukianza kuzungumzia vitu vya bure.waalimu watakutoa macho maana laptop azijawafikia mpaka sasa.2020 ccm ahadi zao zitakua
elimu bure
maji kila nyumba
ajira
bunge kuoneshwa live tbc
na watanzania tulivokua ma zombi tutawachagua tena
Hata ukinishikia bunduki siwezi kuchagua ccm mileleAnajifanya anajua kumbe hajui. sitakaa niiamini ccm hata ikichagua shetani ndo hawa rais.
UNAJUA HATA UNACHO JIBU ?Nini kimekufanya kusema kuwa Serikali ya JMT haijafanya interventions Zanzibar?...ziwe unazotaka wewe au usizozitaka.
Sababu ipi unaweza kuitoa kuwa kiongozi hajali maslahi ya watu wa chini??
Hahahaha mkuu umenchekesha sana kwamba unatamani uwa nyosso raia matakoni labda ndo tutashtukaMkuu kwa Tanzania labda toumbe Mungu afufuke Michael jackson na ule mziki wa "Thriller" ndio hao wafu nao watafufuka!
Hahahaha,ukiwaona kwenye midahalo ya kampeni kama wazalendo kweli wakipewa hela ya gongo usiku wa kupiga kura asubuhi wanasahau na kuchagua tena ccm,hivi ni nani ameturoga,Dah!!
Tuliwambia CCM ni ile ile hapa wanatafuta kufichiana zambi tu hakuna jipyaTulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.
Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...
Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,
Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!
Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
Hajijui kwa lipi?Nafahamu unachokisema unamaanisha lkn hujijui pole yako
Ok,nimekuelewaNdg kumbuka ccm haikuchaguliwa 2015 Bali waliiba ushimdi kwahyo usiwalaumu wananchi bali walaumu wabunge wako wanaotunga sheria za kipumbavu
Yaani unaendaje kwenye uchaguzi na huku huna Tume huru unadhani utashinda na utangazwe? We we nani? Tuache kulaumu watanzania bure
Na hata kama 2020 dizaini ya uchaguzi itakuwa kama hii hii wala sitajisumbua kupoteza mda wangu kwenda kupiga kura
Malim Seif mara zote yeye ndiye anaomba kuongea na Shein na Magufuli huoni hapo tu panatia shaka?Nini kimekufanya kusema kuwa Serikali ya JMT haijafanya interventions Zanzibar?...ziwe unazotaka wewe au usizozitaka.
Sababu ipi unaweza kuitoa kuwa kiongozi hajali maslahi ya watu wa chini??
Una upungufu wa madini ya ufahamu wewe jaribu kula mrenda kila siku mara tatu labda ufahamu unaweza kukurudia.Kama kweli mlishinda mnaogopa nn kurudiwa uchaguzi nyinyi si mlijifanya wajanja mtu wenu kaleta mihemko kajitangazia ushindi mnataka tufanyeje andamaneni suseni nendeni kokote uchaguzi uko pale pale
Huna uelewa wewe afadhali ungezaliwa jiwe ungekuwa na faida.Hatukuwa na wapinzani wa kutosha kuwapa nchi, magufuli alikuwa ni bora kuliko huo upinzani wa kuunga Unga. Upinzani wa kuleta wale wale wachafu na tuliowaponda kwenye mavazi mapya masafi! Mimi nilikuwa UKAWA hadi pale nilipoona chukizo la uharibifu limesimama patakatifu.
sasa wewe si unataka seif kujitangazia mwenyewe urais ndio iwe suluhu? sasa wenzake hawakubali uhuni. seif na cuf siku zote wanajidai ndio washindi kitu ambayo ni uongo. hadi zec inafuta matokeo ccm ndio walikua wanaongoza mbona wao hawalazimishi kutangazwa washindi? watu wasifanyiane masihara.Tulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.
Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...
Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,
Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!
Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
Sisimizi umepoteza mwelekeoTanzania iko kwenye uelekeo sahihi, Mungu atutie nguvu