Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,919
Tangu kuchaguliwa kwa John Magufuli kuwa Rais wa Tanzania, msamiati wa "wananchi wanyonge" umeleta mjadala mkubwa sana kwenye medani za siasa hapa nchini. Rais Mwenyewe amekuwa kila mara akihanikiza kwamba yeye ni "Rais wa wanyonge"
Ni nani hao watanzania wanyonge ambao kila mwanasiasa wa kitanzania anadai kuwatetea. Ni vigezo na sifa zipi walizonazo hao watanzania wanyonge na ni kwa nini wao tu ndiyo wanasiasa wanashindania kuwatetea?
Ni chama gani ama ni mwanasiasa gani ni nguli katika kuwapigania wananchi wanyonge!? Ni wakati gani hasa tutajua kama yanayofanywa yanafanywa kwa niaba ya wananchi wanyonge wa Tanzania?
Ni nani hao watanzania wanyonge ambao kila mwanasiasa wa kitanzania anadai kuwatetea. Ni vigezo na sifa zipi walizonazo hao watanzania wanyonge na ni kwa nini wao tu ndiyo wanasiasa wanashindania kuwatetea?
Ni chama gani ama ni mwanasiasa gani ni nguli katika kuwapigania wananchi wanyonge!? Ni wakati gani hasa tutajua kama yanayofanywa yanafanywa kwa niaba ya wananchi wanyonge wa Tanzania?