Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 429
Amani iwe kwenu wanaJF
Kama heading inavosomeka, watanzania tumekua tukiitegemea sana serikali kwa kila kitu bila ya sisi kujituma katika kujitafutia ili kujikimu na ugumu wa maisha unaikabili nchi yetu.
Pia viongozi wetu wameshindwa kubuni njia mbadala ya kijipatia vyanzo vya fedha mbali na kutegemea Ruzuku kutoka serikali kuu, Kwa mfano Wakurugenzi wetu wangekua watu ambao ni wabunifu na kutengeneza vyanzo vingine vya mapato kwa kila halimashauri zingejiendesha vizuri sana. Zaidi ya vyanzo vile vile ambayo ni vya miaka nenda rudi na havikidhi mahitaji au bajeti ya halimashauri
Ongezea na Mengine, Yangu ni hayo tu
Nimewaza tu kwa uelewa wangu
Kama heading inavosomeka, watanzania tumekua tukiitegemea sana serikali kwa kila kitu bila ya sisi kujituma katika kujitafutia ili kujikimu na ugumu wa maisha unaikabili nchi yetu.
Pia viongozi wetu wameshindwa kubuni njia mbadala ya kijipatia vyanzo vya fedha mbali na kutegemea Ruzuku kutoka serikali kuu, Kwa mfano Wakurugenzi wetu wangekua watu ambao ni wabunifu na kutengeneza vyanzo vingine vya mapato kwa kila halimashauri zingejiendesha vizuri sana. Zaidi ya vyanzo vile vile ambayo ni vya miaka nenda rudi na havikidhi mahitaji au bajeti ya halimashauri
Ongezea na Mengine, Yangu ni hayo tu
Nimewaza tu kwa uelewa wangu