Mimi kwa mtazamo wangu naona kabisa watanzania tunashauku kubwa na yakila namna katika nyanja ya kisiasa.., muda c mrefu tuta anza kuona na kushuhudia watu walewale walokuwepo kwenye mkutano wa UKAWA
nihaohao watakao hudhuria kwenye mkutano wa CCM na vyama vingine kinacho fanyika ni kubalidili vazi tu ..
Wote hao lengo ni moja tu ni kumpata kiongozi bora kwa kufanya hivyo naaamini kabsa mwezi oktoba we will vote for a righ person to be our leader.
Mathematician says even" a10000000 miles start with a single step ",
nihaohao watakao hudhuria kwenye mkutano wa CCM na vyama vingine kinacho fanyika ni kubalidili vazi tu ..
Wote hao lengo ni moja tu ni kumpata kiongozi bora kwa kufanya hivyo naaamini kabsa mwezi oktoba we will vote for a righ person to be our leader.
Mathematician says even" a10000000 miles start with a single step ",