Watanzania nani alituroga?

Watanzania nani alituroga?

kumbuka ule utafiti uliofanywa juu ya uwezo wa kufikiri wa binadamu waishio Tanzania
 
Ndiyo maana mimi nimesema bora niache hata kupiga Kura yaani kuwa na wananchi ambao wanajua tu ukiwa ccm ndo nchi inaenda ni shida sana,watu punguani wasiofanya utafiti si wasomi,wafanyakazi wote ni sifuri kichwani,ccm wape shida na endeleeni kuwakamua wajinga hawa
 
Ndiyo maana mimi nimesema bora niache hata kupiga Kura yaani kuwa na wananchi ambao wanajua tu ukiwa ccm ndo nchi inaenda ni shida sana,watu punguani wasiofanya utafiti si wasomi,wafanyakazi wote ni sifuri kichwani,ccm wape shida na endeleeni kuwakamua wajinga hawa
Ukiacha kupiga kura utakuwa unawasaidia wanyonyaji kuendelea kutawala milele
 
Kwanini mnaanza kuwalaumu watanzania hata kabla ya uchaguzi?? Si mungesubiri uchaguzi mukaona watanzania wataamua vipi halafu ndo mukawahukumu kwa maamuzi yao?? SIDHANI KAMA WATANZANIA WA LEO WATAREJEA MAKOSA YA 2005. WATANZANIA WAMEJIFUNZA VYA KUTOSHA. KUMBUKA HII NCHI NI KUBWA SANA HIVYO CCM HAWAWEZI KUPOTEA MARA MOJA LAKINI UKWELI NI KWAMBA SEHEMU NYINGI ZA NCHI CCM ITAPIGWA NA CHINI KATIKA UCHAGUZI HUU.
 
Bora tuendelee kutawaliwa na Ccm kuliko ile saccos ya uchagani yenye ukabila na udini

Walioleta udini ni waarabu na Wazungu wala si chadema ndiyo maana Zanzibar miaka yote lazima rais awe mwislam wakati wakristo wapo pili ni ccm ndo wameleta udini wakaribuni waislam kuwa vyama vingine WANa udini mbona ccm yenyewe viongozi wake WANa dini mbalimbali kwahiyo waliopo ukawa wao walitakiwa wawe wala gani wasiwe na dini,ila walioko ccm wao wanastahili kuwa na dini ila ukiwa chadema ukiwa na dini ni kosa,haya ni fikra mgando na bahati nzuri mnafanikiwa kwa hoja kama hizi kwasabbu ya haina ya wananchi wanaoumwa akili kama Tanzania .
 
mbinu zilizo tumika kutafuta uhuru zilikuwa za kichawi badala ya mikakati wewe fatilia 2 history ya kupata uhuru utasikia wazee wa bagamoyo walifanya hv mala vle hata nyerere ktk hutuba zake anasema so inawezekana badala ya kuwapumbaza wazungu ikapitiliza na kwa watanzania na cku 2ki ground mwenge ndo 2taanza kupata akili leo jimoto 2 wanalikimbiza tanzania nzima tena na misafara ya magari zaid ya 100 na uliozi mkali ? wkt hata wakiuacha 2 nani ataiba ile dude jeulze then tafakali kisha chukua hatua na cku ccm wakitoka madalakan najua wataondoka na jimoto lao wakalifungie ofcn mtaa wa lumumba wote tunajua moto ni adhabu mungu kawaandalia watenda dhambi cc 2naukimbiza nchi nzima
 
Ukiacha kupiga kura utakuwa unawasaidia wanyonyaji kuendelea kutawala milele

Kapige kura ww ili kama ikatokea unatakiwa kuitetea kura yako uwe na haki coz utakuwa umepiga
 
Nikiwa kwa uandishi wa mpiga kura ndio nilishuhudia jinsi watz tulivyo.Wengi hata mwaka wa kuzaliwa shida. Hadi namba yake ya simu hajui japo anayo. Nilijiuliza maswali mengi sikupata jibu. Hii ni hatari kabisa
 
Mwalimu Nyerere alisema kuwa kuna watu walikuwa wakimsihi sana asing'atuke sababu watu
walikuwa bado wakimhitaji lakini kumbe hawa watu ni ambao bila mwalimu nyerere kuendelea
kutawala basi familia zao zingekuwa mashakani

Hao ndo wachawi wetu
 
Hata mimi nimeshakuja kutambua watanzania wengi wana akili ndogo kama piriton wanasema Magufuli atawatoa kwenye lindi la umasikini.

Lakini ukiwauliza maisha bora kwa kila mtanzania yaliyohaidiwa na kikwete yapo wapi utachoka.

Angalia bei za vitu 2005 na 2015 vilivyopaa Kwanza tu dollar ilikuwa Tsh. 780 saivi ni Tsh. 2300 bado tu watu wanachukulia Poa.

Lakini me nafarijika sababu hali ngumu na unyonyaji wa mafisadi waliopo CCM unawanyuka wote awe CCM asiwe CCM bakora mtalambwa sawasawa.
 
Kwanini mnaanza kuwalaumu watanzania hata kabla ya uchaguzi?? Si mungesubiri uchaguzi mukaona watanzania wataamua vipi halafu ndo mukawahukumu kwa maamuzi yao?? SIDHANI KAMA WATANZANIA WA LEO WATAREJEA MAKOSA YA 2005. WATANZANIA WAMEJIFUNZA VYA KUTOSHA. KUMBUKA HII NCHI NI KUBWA SANA HIVYO CCM HAWAWEZI KUPOTEA MARA MOJA LAKINI UKWELI NI KWAMBA SEHEMU NYINGI ZA NCHI CCM ITAPIGWA NA CHINI KATIKA UCHAGUZI HUU.

Sababu baada ya kusikia mgombea wa ccm tuu, wote wanakurupuka na kusema ni jembe, pasipo kujua wao ndio shamba litakalolimwa na kukwatuliwa na hilo jembe, na mwisho shamba litabaki kuwa shamba bila kuambulia matunda yake
 
Rawasen

MABEHEWA FEKI

nadhani watanzania (mimi simo) wamerogwa na aliyewaroga kafa. ni kwanini hasa ukifika uchaguzi watu wanasahau madhambi yote ya CCM? sio bure!
 
Last edited by a moderator:
Kwanini mnaanza kuwalaumu watanzania hata kabla ya uchaguzi?? Si mungesubiri uchaguzi mukaona watanzania wataamua vipi halafu ndo mukawahukumu kwa maamuzi yao?? SIDHANI KAMA WATANZANIA WA LEO WATAREJEA MAKOSA YA 2005. WATANZANIA WAMEJIFUNZA VYA KUTOSHA. KUMBUKA HII NCHI NI KUBWA SANA HIVYO CCM HAWAWEZI KUPOTEA MARA MOJA LAKINI UKWELI NI KWAMBA SEHEMU NYINGI ZA NCHI CCM ITAPIGWA NA CHINI KATIKA UCHAGUZI HUU.

mkuu umeongea jambo la msingi sana. ni kweli mabadiliko yatakuja lakini hayawezi kuja overnight.
 
Back
Top Bottom