changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
Watanzania tumekuwa na tabia ya ajabu sana ya kiherere na kuonesha hali ya upumbavu na ujinga katika mitandao ya kijamii. Tabia tunayoinesha sio kwamba ndio tunaujua sana mpira kuliko mataifa mengine ya Africa, bali tunaonesha ndio wapumbavu na wajinga kuliko mataifa mengine Africa.
1) Tabia ya kulalamika kupostiwa postiwa ni swala la ajabu mno, kupostiwa hakuifanyi timu iwe kigogo zaidi ya kuucheza mpira uwanjani na kuchukua kombe.
2) kujisifu kwa kupostiwa nalo ni upuuzi, wanao tawala soka la Africa wakipostiwa huwezi kuona shangwe, wala tambo wala comments nyingi ila sisi watanzania tu ndio bado tuna ushamba mwingi na mambo ya CAF.
3) ku comment vitu visivyoendana na content. Mara nyingi sana CAF wanapo tweet habari inahusiana na mchezaji au timu za kariakoo basi tegemea page kuchafuka kwa kila aina ya uharo. Hakuna anayetoa fact, au kwendana na content zaidi ya kuandika upuuzi mwingi mno. Juzi ilipostiwa nani anastahili kuwa kipa wa decade wakapost wanaowania ila cha ajabu mtu anajiropokea tu Manula, Manula.
4) Tabia ya kuvamia kwenye page za timu ambazo unakutana nao kwenye mechi inayofuata na kuandika upuuzi na tambo nyingi. Hii tabia ilianza tokea zamani sio msimu huu.
1) Tabia ya kulalamika kupostiwa postiwa ni swala la ajabu mno, kupostiwa hakuifanyi timu iwe kigogo zaidi ya kuucheza mpira uwanjani na kuchukua kombe.
2) kujisifu kwa kupostiwa nalo ni upuuzi, wanao tawala soka la Africa wakipostiwa huwezi kuona shangwe, wala tambo wala comments nyingi ila sisi watanzania tu ndio bado tuna ushamba mwingi na mambo ya CAF.
3) ku comment vitu visivyoendana na content. Mara nyingi sana CAF wanapo tweet habari inahusiana na mchezaji au timu za kariakoo basi tegemea page kuchafuka kwa kila aina ya uharo. Hakuna anayetoa fact, au kwendana na content zaidi ya kuandika upuuzi mwingi mno. Juzi ilipostiwa nani anastahili kuwa kipa wa decade wakapost wanaowania ila cha ajabu mtu anajiropokea tu Manula, Manula.
4) Tabia ya kuvamia kwenye page za timu ambazo unakutana nao kwenye mechi inayofuata na kuandika upuuzi na tambo nyingi. Hii tabia ilianza tokea zamani sio msimu huu.