technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,647
- 58,453
Maisha hayawezi kuwa sawa ...Fikiria na kuna mtu peke yake anarejesha mzigo kama huu serikalini. Means kuna zingine hazikurejeshwa na haijulikani ilikuwa kiasi gani. Huu ni mfano tu wa namna watu wanakula nchi.View attachment 3389575
Nakala mtoto Abd.
View attachment 3389573
Ndio mnavyodanganyana mkiwa huko DarSema uzuri wa Tz unaweza kwenda huko Sikonge. Ukaomba shamba kijiji kikakupa. Ukajenga nyumba ya kienyeji na kuanza kujilimia viazi utamu vya kula.
Niko huku Sikonge.Ndio mnavyodanganyana mkiwa huko Dar
Xi Jinping atapinga kwao China hakuna homelessHomeless wapo hata kwenye nchi zilizoendelea,sio jambo la ajabu sana
Kuanzia USA mpaka Europe kuna Homeless kibao tu,
Mungu awasaidie watafutao maisha kwa njia ya halali.
Sasa kwa nini hawaendi huko Sikonge??Sema uzuri wa Tz unaweza kwenda huko Sikonge. Ukaomba shamba kijiji kikakupa. Ukajenga nyumba ya kienyeji na kuanza kujilimia viazi utamu vya kula.
Sijui wenyewe. Ila huku tunalima viazi utamu nakutengeneza matobholwa.Sasa kwa nini hawaendi huko Sikonge??
Xi Jinping atapinga kwao China hakuna homeless