Watanzania msimuache kiongozi wenu atekwe

Watanzania msimuache kiongozi wenu atekwe

Tumeshakamata nyoka wao mmoja ,tunauliza nae tumpake mafuta au raia mnasemaje ?
 
Kanisa limefutwa hivo huo ni mkusanyiko usiotambulika. Acheni kuvuruga amani
 
Watanzania msimuache kiongozi wenu atekwe ! hapo kwenye kanisa la gwajima. shikilieni hapo hapo msianzishe vurugu ila wakianzisha vurugu jiteteeni.
Nilikuwa na bomu la machozi pamoja na washikaji zangu ila hatukukamatwa maana tulijiandaa vya kutosha.
 
Naomba masaa yasonge mbele kwa haraka ,watekaji wakutwe live
 
Watanzania msimuache kiongozi wenu atekwe ! hapo kwenye kanisa la gwajima. shikilieni hapo hapo msianzishe vurugu ila wakianzisha vurugu jiteteeni.
Watanzania usituingize kwenye uzwazwa huu. Gwajima si kiongozi wa watanzania bali mazwazwa yaliyoshindwa maisha kiasi cha kuamini kwenye upuuzi na utapeli. Shame on you na ushindwe na kuregea.
 
Back
Top Bottom