Hidden Diamond
Senior Member
- Jan 31, 2024
- 155
- 318
Maandamano yanayotaka kufanyika sio ya Mange Kimambi, CHADEMA, Kigogo, Sativa wala Recho Dangwa bali maandamano haya ni kwa ajili ya kuweka sawa baadhi ya mambo kwenye nchi yetu ambayo kuna baadhi ya watu wachache wanaona wenyewe ndo Wana haki pekee ya kufanya Jambo lolote ambalo wanajisikia bila kujali maumivu ya watu wengine.
Naona kuna baadhi ya watoto wa kimaskini ambao wanajua maana ya shida wameamua kuingia kwenye mkumbo pasipo kuangalia kesho yao, wameamua kukubali kutumika kwa muda kwa kupokea visenti vidogo vidogo kuwasisitiza watu wakatiki Oktoba pasipo kuangalia kesho yao.
Nimewaona baadhi ya boda boda ambao wanachumia juani wanasisitiza tukatiki Oktoba baadhi pia ya mama lishe. Hii Tanzania sio ya viongozi peke yake bali ni wote nchini ili utekaji na uonevu wa aina yoyote uishe unahitaji muamko mkubwa wa raia na sio kuwategemea wakina Mange, CHADEMA, Sarungi, watusemee sisi. Imagine polisi na jeshi wanaungana na serikali kukandamiza raia wake wanatumia kivuli cha kusema tusikubali kuharibu Amani ya nchi yetu wakati wenyewe wanatuchinja.
Maadui wa taifa ni watakaoenda kutiki Oktoba, wanaopinga maandamano na machawa wa ovyo ovyo wengine hatuwezi kwenda kutiki wakati mtu kapitishwa kwenye kura za maoni tayari anaanza kuwatishia watu eti atawaamisha wakatafute sehemu nyingine wakaishi. Oktoba zitaenda kutiki Ng'ombe na kenge Sisi wengine tutaingia barabarani.
Naona kuna baadhi ya viongozi WA CCM wanasema serikali imeleta maji, madarassa, umeme na imeleta ajira, imetengeneza barabara Sawa siku zote ni hoja zenu hizi hizi za utetezi ambazo ni dhaifu utafikiri hela mnatoa mfukoni kwenu . CCM maandamano yakifanikiwa hata mikoa miwili tu baadhi jueni Tanzania nzima yatasambaa kwa haraka sana na yakishindwa kufanyika hiyo tarehe basi Raia wa Tanzania watakuwa ni wapumbavu haijawahi tokea tangia dunia iumbwe.
Naona kuna baadhi ya watoto wa kimaskini ambao wanajua maana ya shida wameamua kuingia kwenye mkumbo pasipo kuangalia kesho yao, wameamua kukubali kutumika kwa muda kwa kupokea visenti vidogo vidogo kuwasisitiza watu wakatiki Oktoba pasipo kuangalia kesho yao.
Nimewaona baadhi ya boda boda ambao wanachumia juani wanasisitiza tukatiki Oktoba baadhi pia ya mama lishe. Hii Tanzania sio ya viongozi peke yake bali ni wote nchini ili utekaji na uonevu wa aina yoyote uishe unahitaji muamko mkubwa wa raia na sio kuwategemea wakina Mange, CHADEMA, Sarungi, watusemee sisi. Imagine polisi na jeshi wanaungana na serikali kukandamiza raia wake wanatumia kivuli cha kusema tusikubali kuharibu Amani ya nchi yetu wakati wenyewe wanatuchinja.
Maadui wa taifa ni watakaoenda kutiki Oktoba, wanaopinga maandamano na machawa wa ovyo ovyo wengine hatuwezi kwenda kutiki wakati mtu kapitishwa kwenye kura za maoni tayari anaanza kuwatishia watu eti atawaamisha wakatafute sehemu nyingine wakaishi. Oktoba zitaenda kutiki Ng'ombe na kenge Sisi wengine tutaingia barabarani.
Naona kuna baadhi ya viongozi WA CCM wanasema serikali imeleta maji, madarassa, umeme na imeleta ajira, imetengeneza barabara Sawa siku zote ni hoja zenu hizi hizi za utetezi ambazo ni dhaifu utafikiri hela mnatoa mfukoni kwenu . CCM maandamano yakifanikiwa hata mikoa miwili tu baadhi jueni Tanzania nzima yatasambaa kwa haraka sana na yakishindwa kufanyika hiyo tarehe basi Raia wa Tanzania watakuwa ni wapumbavu haijawahi tokea tangia dunia iumbwe.