watanzania millioni 8 kufa kwa kansa ya damu chanzo simu za touch

Mkuu appoh, hii topic yako inanipa maswali mengi sana, lakini swali linaloniumiza kichwa ni hili, ni kweli watanzania milioni nane wanamiliki hizi simu za touch!? Na kama ni kweli wanazimiliki umetoa wapi hizi statistics,!? Mbona hujatueleza hao watu milioni nane watakaokufa watakufa kwa kipindi gani, je kwa mwaka , karne au !? Unazungumzia kuwa simu za touch zote zinasense damu tu, mbona unadanganya umma, au wewe technology imekuacha nyuma, hujasikia kuwa kuna touch ambazo unaweza kuzitumia hata kama umevaa gloves!? Mfano nzuri baadhi ya Nokia lumia hata kama umevaa gloves utazitumia bila wasiwasi
 
Last edited by a moderator:
Here I am am using Lg touch na nlikua na try practically nimetumia ndizi mbivu kuandika sms, nimechukua kijiti nimekilowesha na kukiumauma still functioning, nmechukua kitambaa nakukviriga then am typing so what now, apart from that naamini hakuna mzazi anaeweza kukusudia kumuua mwanae vip kuhusu watengenezaji kama vile Samsung, Apple, LG, Black Berry do they really want to kill even their people??? May be try again

hawawezi????? Unafahamu utata mkubwa juu ya chanco cha ukimwi....
 
tatizo ni kuongezwa kwa nguvu ya mionzi kutoka ya kutumia kijiti special mpaka kutumia kitu chochote wamefika mbali nasikia kuna simu sasa hata kugusa haugusi unaelekea ukiwa mbali kwa ishara hivyo mionzi yake ni mikali mnoo inapenya mpaka ndani ya ngozi sio lazima kukubali maana kuna watu mpaka leo hawakubali kama minara ya simu ina madhara na wamweamua kupanga chini ya minara hio
 
namba tatu mkuu yenyewe inataka damu tu ndio isense kama ukibonyeza na kitu chochote kama kucha au kijiti ai sense kwa maana haileti majibu mpaka ubonyeze na kidole upande wa nyama tu ili mionzi iguse ngozi na damu
hapo kwenye red sio kweli hata kidogo mkuu mi natumia galaxy na ideos nimejaribu kutumia kucha kwa hizo android na zina sense kama kawaida....kajipange upya mkuu appoh.
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye red sio kweli hata kidogo mkuu mi natumia galaxy na ideos nimejaribu kutumia kucha kwa hizo android na zina sense kama kawaida....kajipange upya mkuu appoh.

kwa usalama wako tumia kucha milele usitumie kidole ukitumia kidole tunazika makaburi ya kinondoni
 
Last edited by a moderator:
simu za touch zinapendwa sana hasa na kina mama
hapo zamani simu hizi za touch zilitengenezewa na vijiti special maarufu kama touch stick bila hivyo vijiti usingeweza kutumia simu kwa maana haitoweza ku sense
simu mpya ni kwamba bila damu haiwezi ku sense kwa maana ya kwamba ukitumia kucha haifanyi kazi wala ukitumia kijiti pia isipokua uweke kidole upande wa damu
Unaweza kujaribu mwenyewe hapo ulipo hivyo unatakiwa kufanya maamuzi sahihi kwani kuna mpango wa siri uliofichika juu ya technolojia hii

Wewe note 3 mpaka kwa kucha inapiga mzigo haya sema sasa.
 
simu za touch zinapendwa sana hasa na kina mama
hapo zamani simu hizi za touch zilitengenezewa na vijiti special maarufu kama touch stick bila hivyo vijiti usingeweza kutumia simu kwa maana haitoweza ku sense
simu mpya ni kwamba bila damu haiwezi ku sense kwa maana ya kwamba ukitumia kucha haifanyi kazi wala ukitumia kijiti pia isipokua uweke kidole upande wa damu
Unaweza kujaribu mwenyewe hapo ulipo hivyo unatakiwa kufanya maamuzi sahihi kwani kuna mpango wa siri uliofichika juu ya technolojia hii

nafikiri kwa "capacitive touch screens", ili iweze kurespond kunakuwa na arrangement kama ya capacitor hivi, yaani mpangilio wa plate mbili! plate ya kwanza ni touch screen yenyewe na plate ya pili inakuwa ni kidole chako (kumbuka mwili ni kipitisha umeme kizuri!) so ukitachi tu arrangement ya capacitor inakamilika then katikati ya plate za capacitor kunakuwa na electric field "E", hiyo E ndo inachachukuliwa kama "event trigger" na kuwa processed as a command ili kufanya task flan, may labda kufungua application.

pia ukitaka kuverify kuwa kidole kinachukuliwa kama "electric conductor" tu na si vinginevyo hebu chukua kitu ambacho ni cha asili ya chuma na ukitumie taratibu kugusa nayo screen uone jinsi itakavorespond!


NOTE: Samahani nimetumia sana kiswanglishi. Mtoa mada nakushauri usiwe unakurupuka, jaribu kutulia utafute credible information na pia tambua jukwaa ulilopo sio jukwaa la mzaha.
 
Quackery of the highest order.

Kwanza si kweli kwamba touchphone hazi respond mpaka utumie kidole.

Pili hujatuambia hiyo figure ya milioni nane umeipataje.

Tatu hujatoa any credible source.

Nne umemalizia na conspiracy theory inayoelea tu bila hata kujaribu kuridhisha watu.
Ahsante kiranga,nadhani huyu mleta "hisia" anamiliki duka la simu na anastock kubwa ya simu za pads anataka auze mzigo wake haraka!
 
simu za touch zinapendwa sana hasa na kina mama
hapo zamani simu hizi za touch zilitengenezewa na vijiti special maarufu kama touch stick bila hivyo vijiti usingeweza kutumia simu kwa maana haitoweza ku sense
simu mpya ni kwamba bila damu haiwezi ku sense kwa maana ya kwamba ukitumia kucha haifanyi kazi wala ukitumia kijiti pia isipokua uweke kidole upande wa damu
Unaweza kujaribu mwenyewe hapo ulipo hivyo unatakiwa kufanya maamuzi sahihi kwani kuna mpango wa siri uliofichika juu ya technolojia hii

Mimi nimekuelewa mkuu Appoh, ila nina mchango kidogo:
1. Swala la kusema simu za touch zinapendwa zaidi na akina mama sijaelewa umefikiaje hiyo conclusion, kama unapenda simu za kisasa penda usipende lazima simu yako itakuwa na touch screen. Wewe mwenyewe kama unatumia smartphone na sio brand ya blackberry, then it is very likely simu yako inatumia touch screen. Touch screen ni tech ya kisiku hizi ya kuinteract na electronic devices za kisasa i.e simu, tablets, PC, TV etc

2. Swala la pili ni hiyo figure ya watu Mil 8, ni kwa kipindi cha muda gani waTz Mil 8 watakuwa wamekufa kwa cancer kama ulivyo-report au ndo mpaka mwisho wa dunia (na kama wadau wanavyouliza source ya hizi takwimu ni ipi?)

3. Na mwisho unasema touch screen imekuwa programmed ku-sense damu, kwanini unaongelea damu?? kwanini usiseme ngozi inayofanya contact na screen?? anyways...kitu kinachofanyika ni kwamba ili sensor ya simu iweze ku-sense inahitaji electric conductor yeyote iwe na radius ya at least 1 cm (from experience) ifanye contact na screen, mwili wa mwanadamu ni electric conductor nzuri ndo maana sehemu yeyote ya mwili wa mwanadamu ikigusa screen sensor inarespond. Jaribu kuchukua kijiko, kigeuze upande wa nyuma (kwenye curve) kisha kipitishe juu ya screen, sensor itarespond...au chukua hata coin ya Tsh.100 ipitishe kwenye screen ya simu yako utaona sensor inarespond. Kucha na kijiti kama ulivyotolea mfano hapo juu haviwezi kuifanya sensor i-respond kwa sababu sio electric conductor. Sensor za electronic devices nyingi za siku hizi ndo inatumia hii tech inaitwa “Capacitive sensing”
 
Mimi simu za touch sijui kwanini sizikubali, blackberry ndo chaguo langu

hata blackberry za tachi zipo kama z na q series. labda ungesema unapenda simu za qwerty as opposed to touch.
anyway maana hata series nilizokutajia bei yake ni ndefu so hata uchumi waweza kuchangia kwa namna moja au nyingine
 
kaka huu ni uongo kabisa, Touch Input haitumii damu!! kwenye electronics hii ni topic ndefu sana ya CAPACITANCE, simu za touch zinafanya kazi kama TouchPad za laptop!

Kucha haifanyi kazi kwasababu ina capacitance ndogo, kijiti nacho hakifanyi kazi coz kina capacitance ndogo pia,

kumbuka kuna touch screen kama na za nokia asha(hizo sio sensitive/capacitive), na zingine ni capacitive touch screen kama za samsung,htc,Iphone,tecno etc. Touch screen inafanya kazi kama Radio inavyotafuta station kwa kutumia Variable capacitor/STATION BOX.

ili kufahamu kwamba touch screen zina-Sense capacitance, chukua charger ya simu yako chomeka kwenye umeme, kunja ule waya na ugusishe kwenye screen , utaona kama haija-respond kwa sababu wire una-Capacitance.




simu za touch zinapendwa sana hasa na kina mama
hapo zamani simu hizi za touch zilitengenezewa na vijiti special maarufu kama touch stick bila hivyo vijiti usingeweza kutumia simu kwa maana haitoweza ku sense
simu mpya ni kwamba bila damu haiwezi ku sense kwa maana ya kwamba ukitumia kucha haifanyi kazi wala ukitumia kijiti pia isipokua uweke kidole upande wa damu
Unaweza kujaribu mwenyewe hapo ulipo hivyo unatakiwa kufanya maamuzi sahihi kwani kuna mpango wa siri uliofichika juu ya technolojia hii
 
Back
Top Bottom