Wachungaji ni walewale, wadau ni walewale, wenye midomo ya kusemea wenzao!
Niliwahi kusema hapa! Na narudia tena
Tatizo la Watanzania tukiwa maarufu au viongozi au wachungaji ni kujidai tunajua kila kitu!
Kiongozi wa siasa ndiye msemaji wa afya, kiongozi wa siasa ndiye mshauri wa ujenzi, mchungaji anamkosoa tabibu; Kamanda ndiye anakusanya kodi n.k We can't move on that way!
Taarifa za afya zilitakiwa kutolewa na mganga mkuu full stop!
Mwenye ujuzi ndiye awe msemaji kuleta imani!
Zilivyoingia simu za kupangusa tulidanganywa kuwa ni za mpinga kristo, baadae tukasikia zinanyonya damu, baadae tunaambiwa zinaleta Kansa lakini sasa wote tunatumia!
Itoshe kusema Wachungaji fundisheni Bibilia na kuitetea, wanasiasa sikilizeni wataalam siyo kwamba watalaam wawasikilize ninyi, makamanda shughulikeni sehemu yenu mengine waachieni wengine!
Kujua kila kitu nako ni kutokujua!
Niliwahi kusema hapa! Na narudia tena
Tatizo la Watanzania tukiwa maarufu au viongozi au wachungaji ni kujidai tunajua kila kitu!
Kiongozi wa siasa ndiye msemaji wa afya, kiongozi wa siasa ndiye mshauri wa ujenzi, mchungaji anamkosoa tabibu; Kamanda ndiye anakusanya kodi n.k We can't move on that way!
Taarifa za afya zilitakiwa kutolewa na mganga mkuu full stop!
Mwenye ujuzi ndiye awe msemaji kuleta imani!
Zilivyoingia simu za kupangusa tulidanganywa kuwa ni za mpinga kristo, baadae tukasikia zinanyonya damu, baadae tunaambiwa zinaleta Kansa lakini sasa wote tunatumia!
Itoshe kusema Wachungaji fundisheni Bibilia na kuitetea, wanasiasa sikilizeni wataalam siyo kwamba watalaam wawasikilize ninyi, makamanda shughulikeni sehemu yenu mengine waachieni wengine!
Kujua kila kitu nako ni kutokujua!