Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Tuandamane kudai haki yetu ya kujua mapato na matumizi kwa sababu pesa nyingine uwa tunachangia papohapo vipi kuhusu hizi kwanini wasiwe wanatangaza baada ya kukusanya tutaandamana.kila mmoja akihoji hivyo kweli itawezekana?!? haya mambo yanaendeshwa na sheria ya vyama vya siasa ambayo imetoa utaratibu mzuri tu, hawawezi kuanza kumjibu kila mmojammoja anapotaka.vumilia subiri report ya CAG au washtaki mahakamani labda watalazimishwa wakupe