MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 701
- Thread starter
- #21
Heh, kilimo sijui kwanza, mmeshindwa, utalii, mnagawa na kuiba Twiga huku mkifanya magendo ya pembe za ndovu, uchumi mmewaachia wachina tena wafungwa, ufugaji ndo kila kukicha vita ya wakulima na wafugaji, ubondia ndo Cheka anapigania mkanda usotambulika, madini ndo Kenya ya kwanza kuuza TANZANITE duniani, soka ndo kwanza hata wimbo wa taifa wachezaji hawawezi hata kuuimba. Siasa, kila kukicha ni Chadema vs CCM........., tena majukwaani na mtandaoni, mtaweza nini nyie?
# teamentreprenur
Yaani mkuu Genekai mimi nashindwa hata kuelewa sisi tunaongoza ktk lipi sasa. Au taarabu?