Imekuwa ni jambo la kawaida kila kitu kulaumu serikali hasa kwa vijana, watu wazima , wakina mama, wazee na watu wa kada mbalimbali mfano, walimu ,madaktari na wengine kutaja wachache.Pia serikali nayo inalalamika kuanzia uongozi wa juu hadi ngazi ya kijiji na seikali ya mtaa.Ushauri anza na kidogo ulichonacho(wazo) harafu wadau watajitokeza kukupa tafu kama Rais wetu anavyopata tafu kwa ajili yetu kutoka nje ya nchi baada ya kumuona dhamira yake ya kweli ya kusaidia nchi. TANZANIA KWANZA VYAMA BAADAE!!!