othorong'ong'o
Senior Member
- Jan 20, 2011
- 103
- 19
viongozi wa dini wanapoombea mvua ili bwawa la mtera lijae tupate umeme wanadhani kukosekana kwa umeme tatizo ni mvua?,mbona bwawa likijaa utasikia tumezima mashine/turbines sababu maji yamejaa na mashine yatapasuka.,mi nadhani tujaribu ku-link matatizo yetu na uongozi mbovu wa nchi yetu