voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
Watanzania ni watu wagumu sana kuwaelewa!
Ni watu wanafiki kupindukia katika bara la Afrika huenda tunaongoza!
Watu wamedondoshwa!
Tukaishia kukusanya madumu ya machozi!
Meli zinatengenezwa kifisadi Mombasa!,tukaishia kwenye mijadala Club House na kahawani.
Wanauza Bandari ambayo ndio kitovu cha uchumi wetu kijiografia!
Tunacheka na wapumbavu ma chawa kina Majaku na vitenge!
Wanakamata watetezi wetu maarufu, sisi tuko busy na kubeti Simba na Yanga!
Nani katuroga?
Lini tutajitambua watanzania?
Ni watu wanafiki kupindukia katika bara la Afrika huenda tunaongoza!
Watu wamedondoshwa!
Tukaishia kukusanya madumu ya machozi!
Meli zinatengenezwa kifisadi Mombasa!,tukaishia kwenye mijadala Club House na kahawani.
Wanauza Bandari ambayo ndio kitovu cha uchumi wetu kijiografia!
Tunacheka na wapumbavu ma chawa kina Majaku na vitenge!
Wanakamata watetezi wetu maarufu, sisi tuko busy na kubeti Simba na Yanga!
Nani katuroga?
Lini tutajitambua watanzania?