Watanzani watia aibuu mashindano ya 5zone!

Watanzani watia aibuu mashindano ya 5zone!

Dr daud

Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
11
Reaction score
0
iv kwann sis waganiwamwishotu kila sku?mashndano ya B.BALL 5ZONE ki2 2nashka nafasi ya saba kat ya mataifa sabaa also wanawake washka mkia nafas ya 6 kat ya timu 6..OMG.!
 
Ahh hawa TBF au whatever ni wasanii tu kama mlezi wao JK... invest on youth u bsds...kila siku tunasikia sijui Hasheem kaja kufanya clinics, au NBA cares stuff..matunda yapo wapi..? Nimeona picha za mechi za ufunguzi....yaani hawa hawa wenye umri kama wa Nsajigwa na Lunyamila bado wanacheza hadi leo..??? sijui Dullah, Kissoky, ect why...?
 
Ahh hawa TBF au whatever ni wasanii tu kama mlezi wao JK... invest on youth u bsds...kila siku tunasikia sijui Hasheem kaja kufanya clinics, au NBA cares stuff..matunda yapo wapi..? Nimeona picha za mechi za ufunguzi....yaani hawa hawa wenye umri kama wa Nsajigwa na Lunyamila bado wanacheza hadi leo..??? sijui Dullah, Kissoky, ect why...?
:umeona wakati vijana wapo wanaweza kushow v2 vya ukwel...kwnn wacznguke mikoan kuna wachezj wazur 2..bullshit TBF.
 
Tz umakini hakuna, usanii wa serikali umeozesha hadi chini, taasisi, michezoni, ect. Mi nna mvi sasa na nimepiga bol enzi hizoo hawa akina Dullah wanaanza so iweje hadi leo bado wanachezea timu ya taifa: kisa kumfurahisha nanii kwa sababu alikuwa mlezi wao enzi zilee. Yale yale, Bayi, sijui Lundenga na miss Tz, hivi Bayi si upumzike upewe heshima zako yaani mnataka mle hadi mfie ofisini ?

Vijana wapo, wengi tu na mikoani cheki hata Umiseta kumejaa lkn hupati nafasi mpaka uwe unajuana na Mwigulu au yule jangili !
Acheni hizo, TBF waachieni wanaoweza hizi sekta nyie muendelee kwenda mjengoni kupiga story na jamaa mara kwa mara..

:umeona wakati vijana wapo wanaweza kushow v2 vya ukwel...kwnn wacznguke mikoan kuna wachezj wazur 2..bullshit TBF.
 
ya nikwel chek kama UMISETA...KUna wachezaji wazur ok...waache 2pate aibu had kesho.
 
Tanzania tunaendekeza sana siasa katika mambo professional na ndio kinachotuponza...
Dalali wa usajili au dadali wa kutafuta mahala pa kufanyia mazoezi anakua na sauti kuliko kocha wa timu unategemea nini??
Tatizo sio wachezaji wetu, tatizo ni mfumo wa uendeshaji wa mambo katika clubs za michezo
 
Back
Top Bottom