Waasısı wa hıi dhana ni UKAWA.Nakumbuka sku ya uzinduzi wa kampenı zao nilıkuwa pale Jangwani,walıvyokuwa wakıongea ulofa ulıjitanabaisha.Kiwanja kilienea nusu na nusu ilikuwa wazi tu lakn,utasikia watu wengne waleeee,maghorafanı,wengne unawaona hukooöo,wamekosa nafası.Nılicheka sana,nikasema yanı hawa concern yao n watu kujuaa bıla hata kujipma na wengne.Infact mkutano wa CCM Jangwanı ulikuwa mkubwa kulıko wa UKAWA.