Fernando Torres aliuzwa paundi milioni 50 na hakuwa na namba ya kudumu kwenye timu ya taifa ya Spain.Timu inaponunua
mchezaji kwa mapendekezo ya kocha huwa inaangalia kama mchezaji husika atafit kwenye mfumo wao.Bilioni mbili za madafu sio nyingi kwa Okwi.Wewe lazima uone nyingi unashabikia timu iliyoshindwa kulipia hoteli Arusha ikamweka dereva
rehani.Mmemlipa Njoroge pesa zake?FIFA watawaangushia rungu msipolipa.Nilifikiri ulikuwa kwenye msafara wa kumwangukia Mosha arudi.
mchezaji kwa mapendekezo ya kocha huwa inaangalia kama mchezaji husika atafit kwenye mfumo wao.Bilioni mbili za madafu sio nyingi kwa Okwi.Wewe lazima uone nyingi unashabikia timu iliyoshindwa kulipia hoteli Arusha ikamweka dereva
rehani.Mmemlipa Njoroge pesa zake?FIFA watawaangushia rungu msipolipa.Nilifikiri ulikuwa kwenye msafara wa kumwangukia Mosha arudi.