124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Hiyo mizungu si ndio imetuletea Bagamoyo badala ya bwagamoyo na dodoma badala ya idodomiya? Rufiji badala ya RupwiyHayo maneno ya maeneo ya ulaya na ugaibuni sio issue sana kwana hata wazungu wenyewe wakija kwetu maeneo yetu yanawashinda kutamka kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R kwenye magari mathalani atatamka magali