Alex khalifa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2025
- 282
- 512
Baba Kibu Denis kafariki wakatoa pole, kuchangusha watoto wao wakiwa wagonjwa wanaanda mechi za hisani ila watanganyika walio kufa kimya kimetawala, eti tujaze viwanja shut up wanao jaza viwanja wamo makaburini wamerundikwa ka mizoga, Kuna watu wanaamini dunia ni yao time will tell.
Here we go, see you again Tanganyika heroes, oct29 will be remembered,
Here we go, see you again Tanganyika heroes, oct29 will be remembered,