Watanganyika maelfu wamekufa Simba na Yanga hawajatoa pole, eeh Mungu tukumbushe sisi niwapitaji tu hakuna mfalme wa milele isipo kua wewe baba

Watanganyika maelfu wamekufa Simba na Yanga hawajatoa pole, eeh Mungu tukumbushe sisi niwapitaji tu hakuna mfalme wa milele isipo kua wewe baba

Alex khalifa

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2025
Posts
282
Reaction score
512
Baba Kibu Denis kafariki wakatoa pole, kuchangusha watoto wao wakiwa wagonjwa wanaanda mechi za hisani ila watanganyika walio kufa kimya kimetawala, eti tujaze viwanja shut up wanao jaza viwanja wamo makaburini wamerundikwa ka mizoga, Kuna watu wanaamini dunia ni yao time will tell.

Here we go, see you again Tanganyika heroes, oct29 will be remembered,
 
Baba kibu Denis kafariki wakatoa pole, kuchangusha watoto wao wakiwa wagonjwa wanaanda mechi za hisani ila watanganyika walio kufa kimya kimetawala, eti tujaze viwanja shut up wanao jaza viwanja wamo makaburini wamerundikwa ka mizoga, Kuna watu wanaamini dunia ni yao time will tell. Here we go, see you again Tanganyika heroes, oct29 will be remembered,
Hizo timu zinamilikiwa na wana mtandao raia feki wanao ua watu ...GSM NA ROSTAM AZIZI NA DEWJI NI KITU KIMOJA
 
Watanzania nao ni wajinga tuu... Huoni kuna hadi wafiwa wamenunua jezi mpya na uwanjani wameenda😢😢
Man maisha lazima yaendeelle huwezi susa kisa Kuna msiba ni sawa ususe kula kisa umefiwa, amini nakwambia wakati wa mungu ni Bora zaidi tuwe na subra, ila hizi timu zime niumiza sana
 
Back
Top Bottom