Watalipa kodi, au ni kama sadaka?

Watalipa kodi, au ni kama sadaka?

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,143
Reaction score
2,547
Habari wanandoa!
Sina maelezo mengi, kichwa cha habari kinajieleza.

Kwa kuwa uelewa wangu si mpana kwenye mambo ya kodi hapa Tanzania, ningependa kujua kama B 100 za harambee ya CCM kodi itakatwa, au ni kama sadaka?
 
Back
Top Bottom