Kyenju JF-Expert Member Joined Jun 16, 2012 Posts 5,143 Reaction score 2,547 Aug 13, 2025 #1 Habari wanandoa! Sina maelezo mengi, kichwa cha habari kinajieleza. Kwa kuwa uelewa wangu si mpana kwenye mambo ya kodi hapa Tanzania, ningependa kujua kama B 100 za harambee ya CCM kodi itakatwa, au ni kama sadaka?
Habari wanandoa! Sina maelezo mengi, kichwa cha habari kinajieleza. Kwa kuwa uelewa wangu si mpana kwenye mambo ya kodi hapa Tanzania, ningependa kujua kama B 100 za harambee ya CCM kodi itakatwa, au ni kama sadaka?