hatakama cm utakuwa imezima itawezaTumia Usb security
Heri ya uzima ndugu zangu!!!
Naomba kujuzwa ni app gani ya computer naweza kutumia kucopy\kuhamisha mafile nikiwa nimeconnect USB kutoka kwenye simu na laptop. Nikafanikisha kucopy {from smartphone to pc} bila kutoka lock ya simu
.
![]()
Nimekuelewa mkuu, ila mm nilitaka niweze fanya access moja kwa moja Kama itawezekana bila kufanya oppsion kwenye simu.Simu ili iweze kuwa accessed na computer lazima uchague aina ya connection unayohitaji. Na mara nyingi hii inachaguliwa kwenye simu. Labda kama umeseti kwamba computer ijichagulie aina ya connection.
Jambo hilo haliwezekani. Lazima utoe lock ya simu ndio uweze ku access ma-file ndani ya simu.Heri ya uzima ndugu zangu!!!
Naomba kujuzwa ni app gani ya computer naweza kutumia kucopy\kuhamisha mafile nikiwa nimeconnect USB kutoka kwenye simu na laptop. Nikafanikisha kucopy {from smartphone to pc} bila kutoka lock ya simu
.
![]()
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us