Hahaha yani kule wananunua vitu bei rahisi ila wao wanakaza sana, sema yote yanawezekana miezi miwili nyuma niliibiwa laptop na nilikuwa ninahitaji laptop inisogeze kwa mwez mmoja hivi ndipo nije ninunue tena mashine ya maana, nilienda kule wakataka nipige chromebook kumbe mimi mwenyewe fundi ilikuwa mpya nikaikata, wakata niuzi laptop ina kiprocessor week cha AMD nayo nikaikata nikaja nunua laptop ya dell ambayo ilikuwa imefunguliwa niliinunua 80,000 kama ilivyo keyboard ikiwa pembeni hdd imetolewa, ram hazimo na kadhalika nikaja ifunga mwenyewe nikaitumia fresh baada ya mwezi nikampa mtu ila ilikuwa inapiga kazi fresh tu.