Pamoja mkuu ngoja nifanye hivyo!1. hakikisha ume update driver zote muhimu
2. ikiwa slow bonyeza ctrl+alt+delete nenda task manager halafu angalia kitu gani kimejaa hadi pc ipo slow
Naona umesha jibiwa jinsi ya kufungua terminal. Kwa watu waliozoea windows, Terminal ndio kama DOS au COMMAND PROMPT ya kwenye windows. Mimi nilisha hama kutoka ubuntu niko kwenye Arch Linux, lakini najuwa ukibonyeza mara moja key ya windows kwenye keyboard, Ubuntu itafungua search bar ambapo unaweza kusearch app yoyote hapo.NATYPE WAPI MKUU sudo apt install synaptic
ndio ninavyotumia mkuu tena ubuntu ndio imenivutia zaidi kwasasa kuliko windows shukrani kwa mchango wako.Mkuu weka partions kwenye harddrive yako alafu hakikisha windows(x) inakuwa installed kwenye one of the partions zako, baada ya kuhakikisha kila kitu kina run vizuri switch off laptop yako iwashe tena wakati umeweka Ubuntu OS CD kwenye dvd drive ya laptop, cd itaanza process ya kuinstall lakini itakuuliza i-install kwenye partion hipi, select partion ambayo hipo wazi itainstall kila kitu including drivers zinazo matter.
Ukisha naliza process nzima lap top yako itakuwa na uwezo wa ku dual boot yaani ukiswitch on inakupa choice uchague OS unayo taka ku run kati ya Windows au Ubuntu - hapo sasa itategemea chaguo lako.
Binafsi sipendi kutumia a third party apps mfano: wine nk ku-run linux distros kama Ubuntu na nyingine kwenye Windows OS(platform) matokeo yake wakati mwingine ni highly unpredictable in terms of conflicts zinazo weza kutokea - ndio maana na insist kwamba acha Windows i run kwenye partions yake independently na Linux distros kama Ubuntu, Mandrake,Fedora, SuSE nk. nazo zi run kwenye partion nyingine.
Tumia unayo ta
Ukitaka UI iliyo karibu windows, tumia KUBUNTU. Au tafuta Linux Mint KDE, au Cinnamon Linux.hivi wadau...ubuntu ina UI nzuri kuliko ya windows 10.....natamani kubadili OS ila UI ndo kitu cha muhim sana.....