Wataalamu wa sofware msaada tafadhali

MONA WA KYEN

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
345
Reaction score
273
Natumaini mpo salama, nimekuwa nikiona hiki kitu kwenye computer yangu nashindwa namna ya kukiondoa tafadhali mwenye uelewa anisaidie

C:\window\SysWOW64\msiexec.exe
 
hiyo ni trojan virus fanya kuscan computer yako
pia unaweza kujaribu kutoa virus kwa kutumia cmd, kuna uzi ulishawekwa huku jukwaani
 
hii njia mkuu VAN HEIST nimeishindwa inayotokana na huo uzi ulioniwekea
 
kama unafahamu trusted sites za kupata malwarebyte naomba unipe tafadhali
 
Ndio matizo ya kutumia windows OS, mimi niko na linux nimeshasahau habari za virus kabisa!
 
Natumaini mpo salama, nimekuwa nikiona hiki kitu kwenye computer yangu nashindwa namna ya kukiondoa tafadhali mwenye uelewa anisaidie

C:\window\SysWOW64\msiexec.exe
Download karspesky antivirus itaondoa taka taka zote hizo
 
torrent (pirates bay) utaipata crack huku kwenye sites nyingine ni miyeyusho tu zinakua free trial
free trial inatosha kabisa kutoa huyo mdudu, adownload tu kwenye site ya malware bytes.
 
Mkuu VAN HEIST nilijaribu kupakua malwarebire siku ya juzi nikainstall lakini haikumaliza kuscan kwani nilikuta nachukua masaa 6 na nusu na bado ilikuwa haijamaliza na walikuwa wanataka internet connection na kwa staili hiyo bando la Tsh 2000 liliondoka mpaka nilioamua ku- disable internet connection. Leo nimejaribu bila internet na pia walipotaka Internet connection siku-connect na ni kama nimefanikiwa japo sijapata uhakika na how effective is this malwarebite 3.3.1 free. nisaidie kuhusu iko effective kiasi gani pia naomba namna naweza kuilinda computer yangu maana nilikuta naimini window diffender kuwa isingeruhusu virus kuingia kwwenye computer yangu kumbe nilikuwa najidanganya.

na nimefikia hapa kuhusu malwarebite scan through quarantine







sikujua kama nilikuwa nimejenga nyumba ya virus wengi kiasi hiki.
 

Attachments

  • upload_2018-1-9_13-5-54.png
    25.9 KB · Views: 31
msiexec.exe sio virus ni part of windows inayotumika unapoinstall programs. Kwanini unadhani ni tatizo?

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…